Nahitaji ardhi nzuri yenye rutuba kwa ajili ya kilimo

Nahitaji ardhi nzuri yenye rutuba kwa ajili ya kilimo

MANJANGO

Member
Joined
Jun 16, 2022
Posts
54
Reaction score
156
Habari zenu mabibi na mabwana. Kama kichwa cha uzi huu kinavyojieleza, Nahitaji ardhi yenye rutuba hata kama ina mapori.

Ikiwa na channel ya umwagiliaji au kua karibu na mto ntashukuru zaidi. Napendelea maeneo ya bushi kidogo kwani sina ela ya kupgana vikumbo na matari mijini. Nahitaji kwa ajili ya kilimo na ufugaji.

Natamani zaidi maeneo ya Tanga, Pwani au Simanjiro/manyara. Wenye uzoefu au waonaojua maeneo nyenye sifa nlizotaja hapo juu tafadhali naombeni taarifa hapa au PM.

Asanteni.
 
Habari zenu mabibi na mabwana. Kama kichwa cha uzi huu kinavyojieleza, Nahitaji ardhi yenye rutuba hata kama ina mapori.

Ikiwa na channel ya umwagiliaji au kua karibu na mto ntashukuru zaidi. Napendelea maeneo ya bushi kidogo kwani sina ela ya kupgana vikumbo na matari mijini. Nahitaji kwa ajili ya kilimo na ufugaji.

Natamani zaidi maeneo ya Tanga, Pwani au Simanjiro/manyara. Wenye uzoefu au waonaojua maeneo nyenye sifa nlizotaja hapo juu tafadhali naombeni taarifa hapa au PM.

Asanteni.

Kuna uzi niliweka wa shamba Kisarawe ekari 47 zenye hati kwa 10. Hii bei inaweza kupungua na unaweza kulipa kwa awamu pia
 
Habari zenu mabibi na mabwana. Kama kichwa cha uzi huu kinavyojieleza, Nahitaji ardhi yenye rutuba hata kama ina mapori.

Ikiwa na channel ya umwagiliaji au kua karibu na mto ntashukuru zaidi. Napendelea maeneo ya bushi kidogo kwani sina ela ya kupgana vikumbo na matari mijini. Nahitaji kwa ajili ya kilimo na ufugaji.

Natamani zaidi maeneo ya Tanga, Pwani au Simanjiro/manyara. Wenye uzoefu au waonaojua maeneo nyenye sifa nlizotaja hapo juu tafadhali naombeni taarifa hapa au PM.

Asanteni.
Mkuu karibu Handeni kwasunga Heka moja n 300k tuu
Kwasunga hii hauifiki Handeni mjini km unatokea Dsm ..Unaenda mpaka wami bridge ukishapita wami kwa mbele kidogo kuna sehemu inaitwa mandera kuna barabara iko upande wa kulia ..
Kutoka hapo mandera mpaka kwasunga ni 30km ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu karibu Handeni kwasunga Heka moja n 300k tuu
Kwasunga hii hauifiki Handeni mjini km unatokea Dsm ..Unaenda mpaka wami bridge ukishapita wami kwa mbele kidogo kuna sehemu inaitwa mandera kuna barabara iko upande wa kulia ..
Kutoka hapo mandera mpaka kwasunga ni 30km ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Heka 100 zinafika ?
 
Fika Korogwe Kodi kwanza then baadae utanunua. Maji ni ya uhakika, barabara ipo nearby. Flat land
 
Mkuu karibu Handeni kwasunga Heka moja n 300k tuu
Kwasunga hii hauifiki Handeni mjini km unatokea Dsm ..Unaenda mpaka wami bridge ukishapita wami kwa mbele kidogo kuna sehemu inaitwa mandera kuna barabara iko upande wa kulia ..
Kutoka hapo mandera mpaka kwasunga ni 30km ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Maji yapo huko?
 
Back
Top Bottom