Habari waJF? Muda umefika wa kuwa na ubavu wangu. Nahitaji kuoa hivi punde. Binti ambae yupo na vigezo hivi naomba tuwasiliane:
1. Mzuri
2. Umri kuanzia miaka 25-28
3. Dini yoyote
4. Ajue kusoma na kuandika
5. Awe tayari kufunga ndoa kuanzia anapoona bandiko hili.
Wasifu wangu
1. Ni mwanaume
2. Umri: Miaka 37
3. Mkristo
4. Kazi yangu ni ulinzi
5. Makazi: Dar es Salaam
1. Mzuri
2. Umri kuanzia miaka 25-28
3. Dini yoyote
4. Ajue kusoma na kuandika
5. Awe tayari kufunga ndoa kuanzia anapoona bandiko hili.
Wasifu wangu
1. Ni mwanaume
2. Umri: Miaka 37
3. Mkristo
4. Kazi yangu ni ulinzi
5. Makazi: Dar es Salaam