Nahitaji binti wa kuoa, awe na umri kuanzia miaka 25-28

26 tu hapa sina hata mchumba kuna time naona kama niko if track. Kumbe kuna wana mpaka 37.

Kweli hayana miongozo
 
Lamomy
Uduguu, mume huyu hapa, fanya ndoa tuwe nayoo na tutambee nayoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aririiiiiiiiiiiiiii ndoa tunayo uduguu 😂😂😂
Mke nipo hapa yeye asijali ajiandae kubembelezwa mpk ashangae.!!
 
Ukute mislayqueen inafikiri ni mlinzi wa Bar za sinza kumbe mlinzi wa mamakizimkazi pale magogoni.
 
Mkuu wenzio 15 tu wameona ni mingi sana kwa muolewaji.


Wanapambania awe na umri wa miaka 9.

Safari yako ikawe yenye kheri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…