Nahitaji Bodaboda ya Mkataba/ hesabu

Nahitaji Bodaboda ya Mkataba/ hesabu

Life Code

Member
Joined
Apr 30, 2024
Posts
25
Reaction score
46
Habari za Majukumu wakubwa kwa wadogo. Nakuja kuomba kwa dhati kabisa kwa mtu menye Bajaji / Pikipiki na unaitaji Dreva makini, Mwerevu na muaminifu Mimi Nina sifa na vigezo, Nina uzoefu wa miaka miwili barabarani, nina Leseni ya udreva iliyo ndani ya muda.

Nafanya kazi kwa uaminifu, kujituma,weledi Muaminifu, na kikimbizana kufikia malengo kwa yeyote Mwenye Uwezo / Connection tafadhali naomba Support yako natanguliza shukrani za dhati.
 
Habari za Majukumu wakubwa kwa wadogo. Nakuja kuomba kwa dhati kabisa kwa mtu menye Bajaji / Pikipiki na unaitaji Dreva makini, Mwerevu na muaminifu Mimi Nina sifa na vigezo, Nina uzoefu wa miaka miwili barabarani, nina Leseni ya udreva iliyo ndani ya muda.

Nafanya kazi kwa uaminifu, kujituma,weledi Muaminifu, na kikimbizana kufikia malengo kwa yeyote Mwenye Uwezo / Connection tafadhali naomba Support yako natanguliza shukrani za dhati.
Uko mkoa gani?
 
Habari za Majukumu wakubwa kwa wadogo. Nakuja kuomba kwa dhati kabisa kwa mtu menye Bajaji / Pikipiki na unaitaji Dreva makini, Mwerevu na muaminifu Mimi Nina sifa na vigezo, Nina uzoefu wa miaka miwili barabarani, nina Leseni ya udreva iliyo ndani ya muda.

Nafanya kazi kwa uaminifu, kujituma,weledi Muaminifu, na kikimbizana kufikia malengo kwa yeyote Mwenye Uwezo / Connection tafadhali naomba Support yako natanguliza shukrani za dhati.
Unaonekana smart.
 
Me nna swali.

Hivi mkataba wa used upo sawa na wa mpya?

Natamani kujaribu kuwekeza kwenye pikipiki nipatage ata hela ya kuishi maan kuna siku nakua dolo
Hii biashara pasua kichwa utakonda kwa mawazo. Waza biashara nyingine

Dereva analeta pesa vizuri mwanzoni. Ila akikuzoea anaona kama anakulisha. Akija kwako akikuta unachinja kuku anaona kama umenunua kwa hela yake.

Kazi sana
 
Kaka naku hakikishia ukimpa Dreva mwenye Familia huyo anamajukumu hauwezi Kufanya kosa kwenye kukusumbua kwa maana unajua hapo ndio kuna ugali wake, Ila kwa maana halisi kwenye msafara wa mamba na kenge wapo.
 
Habari za Majukumu wakubwa kwa wadogo. Nakuja kuomba kwa dhati kabisa kwa mtu menye Bajaji / Pikipiki na unaitaji Dreva makini, Mwerevu na muaminifu Mimi Nina sifa na vigezo, Nina uzoefu wa miaka miwili barabarani, nina Leseni ya udreva iliyo ndani ya muda.

Nafanya kazi kwa uaminifu, kujituma,weledi Muaminifu, na kikimbizana kufikia malengo kwa yeyote Mwenye Uwezo / Connection tafadhali naomba Support yako natanguliza shukrani za dhati.
Ni pm nikupe mchongo
 
Kuna ile kampuni inaitwa WATU CREDIT wanatoa mikopo ya simu na pkpk vp hujawaza kuwacheki,au marejesho yao nimkasi sana
 
Tatizo watu sshv uhaminifu zero...unaweza mpa mtu pikpik mpya...badae anakwambia amekabwa...au asilete pesa ..full usumbufu tu. Kwakweli hii kazi inaitaji moyo sana...nilikuwa na boda zangu mbili..Moja wapo nikaletewa tarifa kuwa imepotea...amekabwa..mwingine yule haleti pesa kwa wakati ..mm hiyo biashara siwez kbs
 
Week kadhaa zilizopita katika mishemishe zangu nikapata kama 6M iv, kuna vijana wenzangu ni bodaboda na kituo chao ni karibu na sehem ninayofanyia shughul zangu. Ni mara kadha wamekuwa wakinifuata kuomba niwanunue pikipik za mkataba wapo kama watatu ivi wenye huo uitaji na kila mtu alikuwa anakuja kwa mda wake.

Sasa basi baada ya kupata hicho kias nilikuwa na option kadhaa za kuiwekeza hiyo pesa ili angalau izae. Ya kwanza ni ilikiwa niitume nyumban Chunya huko kuna biashara ambayo kwa mtaji wa 6M basi ingeniletea si pungufu ya 12M baada ya miez Minne mpaka mitano, Option ya pili ilikuwa hiyo ya kujaribu kukwamuana na hao vijana wenzangu kwa kuwanunulia pikipik za Mkataba. Nikaamua kujaribu kitu kwa kununua pikipik moja tuu Kwa gharama ya 2.7M kwa mkoa wangu zinaenda kwa Bei hiyo King Lion 9a, na nikamkabidhi kijana mmoja wapo kwa makubaliano ya 10k kwa siku na Mkataba ungedum Miezi 14. Kias kilichobaki nikakituma Huko Nyumbani moja kwa moja kwa ajili ya hiyo biashara.

MREJESHO
Week tatu za mwanzo kijana wa Bodaboda alikuwa na marejesho mazuri yasiyo na Tabu hata kidogo, Baada ya hapo akaugua na zikapita Week 3 hajaingiza hata Mia kwenye Account, na mara zote nikiwa nawasiliana nae kujua hali yake aliendelea kusema ni mgonjwa na kazi angeanza Kesho, mara kesho, Mara kesho. Kesho zikawa nyingi mpaka nikachukia na yeye akajua bro kachukia na akafanya maauzi haya. Ikabid nichukue pikipik ila mpaka hapo tayar kashanitia sumu kwenye hii biashara, Naona kama nimepoteza pesa bure tuu.

Wakati kile kias kilichobak 3.3M nilikiweka kwenye ile biashara na Kimezaa 7.5M na iko Bank saiv. Labda atokee wa kunibadili mawazo ila sitak tena hiyo biashara, na hata wale wawili imebid nimpe mmoja wapo huki natafuta mteja
 

Attachments

  • Screenshot_20240615-141244.png
    Screenshot_20240615-141244.png
    47 KB · Views: 19
Week kadhaa zilizopita katika mishemishe zangu nikapata kama 6M iv, kuna vijana wenzangu ni bodaboda na kituo chao ni karibu na sehem ninayofanyia shughul zangu. Ni mara kadha wamekuwa wakinifuata kuomba niwanunue pikipik za mkataba wapo kama watatu ivi wenye huo uitaji na kila mtu alikuwa anakuja kwa mda wake.

Sasa basi baada ya kupata hicho kias nilikuwa na option kadhaa za kuiwekeza hiyo pesa ili angalau izae. Ya kwanza ni ilikiwa niitume nyumban Chunya huko kuna biashara ambayo kwa mtaji wa 6M basi ingeniletea si pungufu ya 12M baada ya miez Minne mpaka mitano, Option ya pili ilikuwa hiyo ya kujaribu kukwamuana na hao vijana wenzangu kwa kuwanunulia pikipik za Mkataba. Nikaamua kujaribu kitu kwa kununua pikipik moja tuu Kwa gharama ya 2.7M kwa mkoa wangu zinaenda kwa Bei hiyo King Lion 9a, na nikamkabidhi kijana mmoja wapo kwa makubaliano ya 10k kwa siku na Mkataba ungedum Miezi 14. Kias kilichobaki nikakituma Huko Nyumbani moja kwa moja kwa ajili ya hiyo biashara.

MREJESHO
Week tatu za mwanzo kijana wa Bodaboda alikuwa na marejesho mazuri yasiyo na Tabu hata kidogo, Baada ya hapo akaugua na zikapita Week 3 hajaingiza hata Mia kwenye Account, na mara zote nikiwa nawasiliana nae kujua hali yake aliendelea kusema ni mgonjwa na kazi angeanza Kesho, mara kesho, Mara kesho. Kesho zikawa nyingi mpaka nikachukia na yeye akajua bro kachukia na akafanya maauzi haya. Ikabid nichukue pikipik ila mpaka hapo tayar kashanitia sumu kwenye hii biashara, Naona kama nimepoteza pesa bure tuu.

Wakati kile kias kilichobak 3.3M nilikiweka kwenye ile biashara na Kimezaa 7.5M na iko Bank saiv. Labda atokee wa kunibadili mawazo ila sitak tena hiyo biashara, na hata wale wawili imebid nimpe mmoja wapo huki natafuta mteja
Vijana wengi niwapuuzi, kuna mmoja aliwahi nifata nimfungulie salun, baada yakunishawishi Kwa muda mrefu nikaona ngoja nifungue na makubaliano yalikua kunipa hesabu kiasi kidogo tu, lkn Jamaa alinisumbia mpaka nikajuta. Sintorudia kumuonea kijana yeyote huruma. Fanya biashara ambayo unaona unaweza ifanya mwenyewe Moja kwa moja kama hawa vijana wenzetu wakizingua.
 
Vijana wengi ni pasua kichwa kwenye marejesho kwasababu Wabongo hatujui kuheshimu hela wala muda
 
Back
Top Bottom