Nahitaji Bodaboda ya Mkataba/ hesabu

Nahitaji Bodaboda ya Mkataba/ hesabu

Vijana ni shida tuu yani hawabebeki, tena hawa ambao unaona huyu mwanangu ni ndugu yangu tumetoka mbali nimnyanyue nimuwezeshe apate chochote ndo anakuumiza.
 
Back
Top Bottom