Nahitaji Boyfriend toka JF awe na Sifa hizi

Mkuu wew ni member wa mda mrefu,,,we mpe ushaur anaopenda kuuckia mackion mwake na sio ukwel utakaoumuuma zen gonga glasi cku zikatike

If haitakuja kuchosha ata cku moja
 
Niko hapa madame kujaza nafasi wazi.
Kesi nyingine labda?
 
Mmmh.... Ujeuri umetoka wapi tena? Maana nmekujibu kama ambavyo umekuja the harder you come the harder you leave.

Mi nlidhani ni mwanamke 😳😳😳 haya kama wewe ni jinsia me.makubwa.

Basi ntaku treat kama me.

halafu unao unajinsia mbili ya ke na me maana mwanamke hajafundishwa kuwa jeuri kiasi chako halafu mimi siyo ke
 
Nimesoma kwa taratibu,nikafika Aya ya nne nikajiridhisha Bado nikabaki na mstari kwamba unawajua na Wanaume wa watu?
 
mbona mimi hujantaja kwenye ii sredi?
 
Chukua embassy au portsman anza kuvuta nakuja kulipia mimi mwenyewe....nikichelewa vuta Balimi Gharama juu yangu..POINT kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…