Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
Nahitaji kijana alietoka chuo mwenye uelewa mpana kwenye kilimo Cha nyanya, kitunguu, mahindi, maharage na alizeti pia mwenye kujua na kutunza vizuri nguruwe, mbuzi na ng'ombe
-Awe anajituma
-Mwenye kufanya kazi Bila kutumwa
-Awe mbunifu na kujiongeza
Tabia njema na uaminifu
-Awe ametoka na kuhitimu mafunzo ya kilimo kwenye chuo kinachotambulika na serikali kwenye sekta husika
Eneo la kazi ni mkoa wa Kilimanjaro hvyo akiwa mkazi wa eneo husika itapendeza Zaid.
Muda wa kuanza kazi ni haraka iwezekanavyo.
Nicheki sandukun kwa wasifu na uhitaji
-Awe anajituma
-Mwenye kufanya kazi Bila kutumwa
-Awe mbunifu na kujiongeza
Tabia njema na uaminifu
-Awe ametoka na kuhitimu mafunzo ya kilimo kwenye chuo kinachotambulika na serikali kwenye sekta husika
Eneo la kazi ni mkoa wa Kilimanjaro hvyo akiwa mkazi wa eneo husika itapendeza Zaid.
Muda wa kuanza kazi ni haraka iwezekanavyo.
Nicheki sandukun kwa wasifu na uhitaji