Little Dreamer
Senior Member
- Sep 12, 2017
- 180
- 162
actually, Japanese carsNyingi zipo specific kwa aina flani ya gari. Mfano Japanese cars au Germany au European. Wewe unataka gari gani?
Sijawahi kutana nayo bado lakini umejaribu kutumia compartible software za iyo scan tool yako.actually, Japanese cars
Mkuu ulifanikiwa, mimi natafuta car diagnostic machine iwe na uwezo wa kupima gari zote. iwe English versionHabari wajumbe!
Nahitaji hiyo car diagnosis software, nilijaribu kutafuta moja inayoitwa techstream ila sikufanikiwa kuifanyia installation, hivyo kwa ambaye anaweza kuwa nayo please tell me
Mimi ninayo ila inabagua magariMkuu ulifanikiwa, mimi natafuta car diagnostic machine iwe na uwezo wa kupima gari zote. iwe English version
mimi nataka PS70PRO ENGLISH VERSIONMimi ninayo ila inabagua magari
ipo mkuu utapewa bluetooth na tablet au bluetooth tablet utanunua mwenyewe then nakufanyia installation.Mkuu ulifanikiwa, mimi natafuta car diagnostic machine iwe na uwezo wa kupima gari zote. iwe English version
Mimi natafuta hii mkuu PS70PRO English version.ipo mkuu utapewa bluetooth na tablet au bluetooth tablet utanunua mwenyewe then nakufanyia installation...
Naomba namba mkuu tuwasilianekama unahitaji techstream haina shida softwere mm ninazo new version nitakuwekea na kuactivate kabisaa...
Kaka samahani kidogo kuna kitu kinanitatiza,najua engine huwa inapitia sehemu nne ili kukamilisha mzunguko mmoja ambapo sehemu hizo ni intake,compression,combustion pamoja na exhaust.ipo mkuu utapewa bluetooth na tablet au bluetooth tablet utanunua mwenyewe then nakufanyia installation.
0717228064
Starter ina kazi gani?Kaka samahani kidogo kuna kitu kinanitatiza,najua engine huwa inapitia sehemu nne ili kukamilisha mzunguko mmoja ambapo sehemu hizo ni intake,compression,combustion pamoja na exhaust...
Brow kabla ya kuangalia mapigo ya engine unatakiwa ujue piston haijipandishi na kujishusha yenyewe nayo inategemea crank shaft izunguke ili piston ifanye kazi yake so uliwezaje kujua mapigo ya engine bila kujua piston inapata vp ubavu wa kufanya kazi usikariri brow fatilia vzuriKaka samahani kidogo kuna kitu kinanitatiza,najua engine huwa inapitia sehemu nne ili kukamilisha mzunguko mmoja ambapo sehemu hizo ni intake,compression,combustion pamoja na exhaust...
Kinachoizungusha crank shift ni kile kitendo cha Piston kupanda juu na kushuka ndiyo maana mimi najikita kwenye Piston kwanza.Msingi wa crank shift kuzunguka ni Piston ipande juu na kushuka.Brow kabla ya kuangalia mapigo ya engine unatakiwa ujue piston haijipandishi na kujishusha yenyewe nayo inategemea crank shaft izunguke ili piston ifanye kazi yake so uliwezaje kujua mapigo ya engine bila kujua piston inapata vp ubavu wa kufanya kazi usikariri brow fatilia vzuri
Mkuu shukrani sana kwani swali lako limekuwa ndiyo jibu la swali langu.Kumbe starter motor ndiyo huwa inaenda kuizungusha crank shift mpaka pale ambapo engine inaenda kwenye stage ya tatu ya combustion ambapo huwa inaweza kujitengenezea nguvu yake yenyewe ya kujiendesha.Starter ina kazi gani?
Kumbuka pistons huwa zimepangiliwa katika kushuka na kupanda, kama engine ni ya pistons nne...utakuta mbili zikipanda...mbili zinashuka..ni kama unavyonyonga pedal za baiskeliMkuu shukrani sana kwani swali lako limekuwa ndiyo jibu la swali langu.Kumbe starter motor ndiyo huwa inaenda kuizungusha crank shift mpaka pale ambapo engine inaenda kwenye stage ya tatu ya combustion ambapo huwa inaweza kujitengenezea nguvu yake yenyewe ya kujiendesha...