Nahitaji car diagnosis software ya kutumia kwenye PC pamoja na OBD2 cable

Nahitaji car diagnosis software ya kutumia kwenye PC pamoja na OBD2 cable

Kumbuka pistons huwa zimepangiliwa katika kushuka na kupanda, kama engine ni ya pistons nne...utakuta mbili zikipanda...mbili zinashuka..ni kama unavyonyonga pedal za baiskeli
Mkuu hiki kitu nimejifunza na nikakielewa fasta sana kwamba piston moja ikiwa chini nyingine inakuwa ipo juu tayari kwenye combustion stage ambapo ikisukumwa kurudi chini basi inanyanyua ile iliyopo chini kurudi juu kwa ajili ya combustion na mzunguko unakuwa unaendelea.Sasa mkuu nilipokwama ni vipi engine ya piston moja huwa inajiendesha?
 
Mkuu hiki kitu nimejifunza na nikakielewa fasta sana kwamba piston moja ikiwa chini nyingine inakuwa ipo juu tayari kwenye combustion stage ambapo ikisukumwa kurudi chini basi inanyanyua ile iliyopo chini kurudi juu kwa ajili ya combustion na mzunguko unakuwa unaendelea.Sasa mkuu nilipokwama ni vipi engine ya piston moja huwa inajiendesha?
Ili engine iwake,inabidi izungushwe kwa speed fulani Ili kuanzisha mlipuko wa mafuta na hewa ndani ya combustion chamber.baada ya kuzungushwa na mlipuko kuanza,na piston kusukumwa chini,starter inakuwa haina kazi Tena.

Nguvu inayosababisha piston ipande juu,tayari kwa mlipuko mwingine,inatokana na kitu kinaitwa INERTIA ambayo ni nguvu ambayo bado ipo kwenye flywheel,au crankshaft,mfano wa hii ni kwamba chukua baiskeli,nyanyua tairi ya nyuma,harafu izungushe kwa nguvu kwa sekunde 5, harafu uiache, ile tairi itaendelea kuzunguka kwa muda kidogo, kwa hiyo baada ya injini kuzungushwa na starter,mlipuko ukaanza, injini/piston inaendelea kupanda na kushuka kutokana na nguvu ambayo bado ipo kwenye crankshaft/flywheel(inertia) na kitendo Cha kuendelea kupanda na kushuka kwa piston kitasababisha milipuko mingine iendelee,mpaka pale utakapo ondoa supply ya mafuta au hewa,injini itazima.
 
Ili engine iwake,inabidi izungushwe kwa speed fulani Ili kuanzisha mlipuko wa mafuta na hewa ndani ya combustion chamber.baada ya kuzungushwa na mlipuko kuanza,na piston kusukumwa chini,starter inakuwa haina kazi Tena...
Mkuu nina wasiwasi mmoja.Kumbuka katika stage two ya engine ambayo ni compression piston huwa inahitaji nguvu kubwa sana katika kurudi juu ili kupanda juu kutengeneza mgandamizo wa hewa pamoja na mafuta kwa ajili ya combustion(stage three ya engine).

Je,nguvu ya inertia peke yake ina uwezo wa kusababisha mgandamizo huo mkubwa ambao huwa una resistance kubwa sana uweze kutokea(compression)?
 
Nadhani hata mwalimu wako alishindwa kukujibu swali lako kutokana na ukaidi wako vitu hvyo havitaki kucomplicate mambo unatakiwa ujue mantiki ya swali lako hebu uliza swali usitoe maelezo ya swali
Kinachoizungusha crank shift ni kile kitendo cha Piston kupanda juu na kushuka ndiyo maana mimi najikita kwenye Piston kwanza.Msingi wa crank shift kuzunguka ni Piston ipande juu na kushuka...
 
Niliuliza ili tuanzie hapo kwanza...ndipo maelezo mengine yafuate mkuu
Hujajibu swali lake...kazi ya starter ni kuzungusha crank shaft ili injini iwake....injini ikishawaka starter inakuwa haina kazi kwa wakati huo
 
Mkuu hiki kitu nimejifunza na nikakielewa fasta sana kwamba piston moja ikiwa chini nyingine inakuwa ipo juu tayari kwenye combustion stage ambapo ikisukumwa kurudi chini basi inanyanyua ile iliyopo chini kurudi juu kwa ajili ya combustion na mzunguko unakuwa unaendelea.Sasa mkuu nilipokwama ni vipi engine ya piston moja huwa inajiendesha?
Bro.... Kuna engine ya piston moja?!
 
Bro.... Kuna engine ya piston moja?!

152555.jpg
 
mkuu jibu lako la swali lako ni jepesi sana na yawezekana wadau washakujibu lakini mm nakazia tuu hapo hapo..gari ikisha waka ikiwa inafanya kazi..inapolipua na piston inashuka chini kwa kusaidiana na crank shaft hufanya mzunguko uwe mzito na wenye nguvu..kwenye crankshaft kuna vyuma vikubwa vipo je ushawahi jiuliza vya kazi gani?? na havihawekwa sehem moja bali kwa kupishwanisha chini juu chini juu??.
 
Mkuu shukrani sana kwani swali lako limekuwa ndiyo jibu la swali langu.Kumbe starter motor ndiyo huwa inaenda kuizungusha crank shift mpaka pale ambapo engine inaenda kwenye stage ya tatu ya combustion ambapo huwa inaweza kujitengenezea nguvu yake yenyewe ya kujiendesha.

Lakini sasa bado kuna swali limebaki kichwani.Tunajua kuwa kwenye stage ya tatu ya engine,combustion huwa inatoa nguvu inayosababisha piston kushuka chini kwa ajili ya kuendeleza mzunguko wa crank shift.Sasa nguvu ya kuirudisha piston juu kwa ajili ya exhaust stage pamoja na kurudia mzunguko mzima wa kuanzia stage one ya intake huwa inaendelea kutoka w

Mkuu shukrani sana kwani swali lako limekuwa ndiyo jibu la swali langu.Kumbe starter motor ndiyo huwa inaenda kuizungusha crank shift mpaka pale ambapo engine inaenda kwenye stage ya tatu ya combustion ambapo huwa inaweza kujitengenezea nguvu yake yenyewe ya kujiendesha.

Lakini sasa bado kuna swali limebaki kichwani.Tunajua kuwa kwenye stage ya tatu ya engine,combustion huwa inatoa nguvu inayosababisha piston kushuka chini kwa ajili ya kuendeleza mzunguko wa crank shift.Sasa nguvu ya kuirudisha piston juu kwa ajili ya exhaust stage pamoja na kurudia mzunguko mzima wa kuanzia stage one ya intake huwa inaendelea kutoka wapi?
Umesoma fire ring order za engene? Ukumbuke kila piston inamuda wake wa kupitia hiyo fire ring
 
Back
Top Bottom