Nahitaji chaja yenye Output kubwa

Nahitaji chaja yenye Output kubwa

Clark boots

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
6,770
Reaction score
6,202
Wakuu, Nina Simu yangu ambayo power ya Betri yake ni mAh 6000 na Chaja yake ina output ya 5V=2A. Hivyo nimekuja kugundua kuwa betri ya simu ni kubwa sana ukilinganisha na output ya chaja, hii inapelekea kutojaza simu/betri kwa haraka.. Just imagine natumia masaa yasiyopungua 5 kujaza simu.!! Hii hali huwa inanitesa sana.

Hivyo basi, nahitaji chaja yenye uwezo wa kutoa output kubwa At least 10V=4A. Ni maduka gani au brand gani nzuri na zenye ubora ninaweza kupata chaji matata kama hiyo ambayo naweza kutumia muda usiozidi masaa 2:30 kuchaji simu yangu na ikajaa full.
 
Wakuu, Nina Simu yangu ambayo power ya Betri yake ni mAh 6000 na Chaja yake ina output ya 5V=2A. Hivyo nimekuja kugundua kuwa betri ya simu ni kubwa sana ukilinganisha na output ya chaja, hii inapelekea kutojaza simu/betri kwa haraka.. Just imagine natumia masaa yasiyopungua 5 kujaza simu.!! Hii hali huwa inanitesa sana.

Hivyo basi, nahitaji chaja yenye uwezo wa kutoa output kubwa At least 10V=4A. Ni maduka gani au brand gani nzuri na zenye ubora ninaweza kupata chaji matata kama hiyo ambayo naweza kutumia muda usiozidi masaa 2:30 kuchaji simu yangu na ikajaa full.
Ni factor nyingi zinazofanya simu I charge faster, kwanza charger yeyote kuanzia 2A Huwa considered as fast charger, hiyo unayoitaka ya 4A inaweza kuwa impractical.
Unaweza Kuta Kichwa kipo fresh ila shida ni resistivity ya USB cable, na cable kuwa sio fast charging cable, ukienda dukani Bora ukasubiri hata 30 min uone performance ya charger unayoinunua, ukijilishisha nunua.
 
Kuna Mzigo huu hapa!
CHARGER.jpg
 
Wakuu, Nina Simu yangu ambayo power ya Betri yake ni mAh 6000 na Chaja yake ina output ya 5V=2A. Hivyo nimekuja kugundua kuwa betri ya simu ni kubwa sana ukilinganisha na output ya chaja, hii inapelekea kutojaza simu/betri kwa haraka.. Just imagine natumia masaa yasiyopungua 5 kujaza simu.!! Hii hali huwa inanitesa sana.

Hivyo basi, nahitaji chaja yenye uwezo wa kutoa output kubwa At least 10V=4A. Ni maduka gani au brand gani nzuri na zenye ubora ninaweza kupata chaji matata kama hiyo ambayo naweza kutumia muda usiozidi masaa 2:30 kuchaji simu yangu na ikajaa full.
Yaani masaa 5 unalalamika mkuu... Mi yangu inajaa masaa 11...
 
Wakuu, Nina Simu yangu ambayo power ya Betri yake ni mAh 6000 na Chaja yake ina output ya 5V=2A. Hivyo nimekuja kugundua kuwa betri ya simu ni kubwa sana ukilinganisha na output ya chaja, hii inapelekea kutojaza simu/betri kwa haraka.. Just imagine natumia masaa yasiyopungua 5 kujaza simu.!! Hii hali huwa inanitesa sana.

Hivyo basi, nahitaji chaja yenye uwezo wa kutoa output kubwa At least 10V=4A. Ni maduka gani au brand gani nzuri na zenye ubora ninaweza kupata chaji matata kama hiyo ambayo naweza kutumia muda usiozidi masaa 2:30 kuchaji simu yangu na ikajaa full.
Simu yako iko na fast charging technology ? maana 5V - 2A bado ni charge kumbwa
 
hizo pupa zako za kuhitaji moto mwingi utakuja kuua hilo betri lako..waliotengeneza hiyo simu wamekuweka na chaji yake baada ya kuona power yake ndio inastahili kuchajia simu hiyo bila kuleta hitilafu ya kiufundi ndani ya simu au betri walikuwa na mahesabu yao..ila ww hujali hilo unataka chaji la kutoa V kubwa bila kujali simu itahimili hilo..kumbe ukawa unaua simu au betri kuwa na maisha fupi hivyo kununua betri jipya mara kwa mara..
 
Ni factor nyingi zinazofanya simu I charge faster, kwanza charger yeyote kuanzia 2A Huwa considered as fast charger, hiyo unayoitaka ya 4A inaweza kuwa impractical.
Unaweza Kuta Kichwa kipo fresh ila shida ni resistivity ya USB cable, na cable kuwa sio fast charging cable, ukienda dukani Bora ukasubiri hata 30 min uone performance ya charger unayoinunua, ukijilishisha nunua.
Asante kwa ushauri Mkuu..
 
Hardware ya simu yako ina support Fast Changing kwanza? Afu hio 5V kwa 2A mbona ni Fast Charge angalia kwanza hardware ya simu yako kama Ina support
 
Wakuu, Nina Simu yangu ambayo power ya Betri yake ni mAh 6000 na Chaja yake ina output ya 5V=2A. Hivyo nimekuja kugundua kuwa betri ya simu ni kubwa sana ukilinganisha na output ya chaja, hii inapelekea kutojaza simu/betri kwa haraka.. Just imagine natumia masaa yasiyopungua 5 kujaza simu.!! Hii hali huwa inanitesa sana.

Hivyo basi, nahitaji chaja yenye uwezo wa kutoa output kubwa At least 10V=4A. Ni maduka gani au brand gani nzuri na zenye ubora ninaweza kupata chaji matata kama hiyo ambayo naweza kutumia muda usiozidi masaa 2:30 kuchaji simu yangu na ikajaa full.
Kama simu yako inakubali 5V ukichomeka chaja ya 10V unainguza, Amps hazina shida sababu zinavutwa.

Identify jina la simu yako, Google technology gani wanatumia kuchaji, tafuta chaja ya technology husika, chaja ya super vooc haita chaji simu ya Quick charge, chaja ya quick charge haita chaji power delivery etc.

Kama huna uhakika weka model ya kifaa chako hapa.
 
Back
Top Bottom