Anigrain
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 1,680
- 4,204
Wakuu poleni n majukumu na kheri ya Christmas na mwaka mpya
Aisee nahitaji Chumba cha kupanga maeneo ya vikindu Mkoani Dar, ambacho either ni Masters/chumba na sebule/chumba sebule na jiko, napendelea zaidi nyumba mpya au ambayo bado inavutia, sifa za chumba kiwe na gypsum,tiles, madirisha mazuri, ndani ya Fence na pia Feni ni sifa ya ziada tu.
chumba kiwe maeneo ya vikindu center pale pale isiwe mbali sana ili kuwa karibu na sehemu ya kutafutia ridhki lakini pia kupunguza gharama na usumbufu kwenye issue za usafiri.
Nimejaribu kutafuta kwa week Sasa ila imekuwa ni ngumu kupata kutokana na mie kutokuwa karibu na eneo husika, lakini pia madalali wa vikindu bado wanafanya kazi kizamani tofauti na sehemu zingine, kwingine madalali hufungua account katika mitandao ya kijamii na kupost nyumba/vyumba vyao hivo inasaidia kuokoa muda na kupunguza usumbufu.
Kwa Baba mwenye nyumba/dalali ambae una chumba chenye sifa hizo basi nicheki DM tufanye mawasiliano, au ata kama we huna nyumba na pia sio dalali ila unamfahamu mtu ambae ana nyumba na anapangisha maeneo hayo basi ningeomba pia msaada wako.
Natanguliza Shukrani
Aisee nahitaji Chumba cha kupanga maeneo ya vikindu Mkoani Dar, ambacho either ni Masters/chumba na sebule/chumba sebule na jiko, napendelea zaidi nyumba mpya au ambayo bado inavutia, sifa za chumba kiwe na gypsum,tiles, madirisha mazuri, ndani ya Fence na pia Feni ni sifa ya ziada tu.
chumba kiwe maeneo ya vikindu center pale pale isiwe mbali sana ili kuwa karibu na sehemu ya kutafutia ridhki lakini pia kupunguza gharama na usumbufu kwenye issue za usafiri.
Nimejaribu kutafuta kwa week Sasa ila imekuwa ni ngumu kupata kutokana na mie kutokuwa karibu na eneo husika, lakini pia madalali wa vikindu bado wanafanya kazi kizamani tofauti na sehemu zingine, kwingine madalali hufungua account katika mitandao ya kijamii na kupost nyumba/vyumba vyao hivo inasaidia kuokoa muda na kupunguza usumbufu.
Kwa Baba mwenye nyumba/dalali ambae una chumba chenye sifa hizo basi nicheki DM tufanye mawasiliano, au ata kama we huna nyumba na pia sio dalali ila unamfahamu mtu ambae ana nyumba na anapangisha maeneo hayo basi ningeomba pia msaada wako.
Natanguliza Shukrani