Dalali yoyote ambae yupo tayari kufanya biashara naomba anicheki kwa no;0783 24 2247
Nahitaji chumba chenye sifa zifuatazo:
Kiwe ni master room
Kiwe maeneo ya Kimara
Kiwe ndani ya geti/fensi usalama wa kutosha
Luku ya kujitegemea (Japo co lazma sana)
Bajeti yangu ni 70K-100K
Nipo serious, nahtaji kuanza kuhamisha vtu vyangu kuanzia week ijayo.
Namb yang ipo juu hapo na ina watsap, nafanya kazi kuanzia j3-jmos asbh mpk ucku kwahyo cku pekee ya kwenda kukitazama chumba n jpili so n vzr mtu akanitumia picha watsap.
Nahitaji chumba chenye sifa zifuatazo:
Kiwe ni master room
Kiwe maeneo ya Kimara
Kiwe ndani ya geti/fensi usalama wa kutosha
Luku ya kujitegemea (Japo co lazma sana)
Bajeti yangu ni 70K-100K
Nipo serious, nahtaji kuanza kuhamisha vtu vyangu kuanzia week ijayo.
Namb yang ipo juu hapo na ina watsap, nafanya kazi kuanzia j3-jmos asbh mpk ucku kwahyo cku pekee ya kwenda kukitazama chumba n jpili so n vzr mtu akanitumia picha watsap.