Nahitaji connection ya mtu ambae anafanya biashara ya samaki Mwanza

Nahitaji connection ya mtu ambae anafanya biashara ya samaki Mwanza

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
Naitaji mtu ambae yuko Mwanza ambae anafanya biashara za samaki kwa maana ya uchuuzi na usafirishaji mpaka Dar es Salaam.

Au kwa yoyote ambae anajua A to Z ya kununua samaki mpaka usafiri to Dar es Salaam
 
Naitaji mtu ambae yuko Mwanza ambae anafanya biashara za samaki kwa maana ya uchuuzi na usafirishaji mpaka Dar es Salaam.

Au kwa yoyote ambae anajua A to Z ya kununua samaki mpaka usafiri to Dar es Salaam
Kariakoo pia wanauza kwa jumla Fanya research,
 
That's why niko JF
eeeh haya.
ukweli Jf kuzipata details zote ni very rarely.

watu wanashinda mahusiano na Siasani Ila ukipita kwa Mtu muhusika wa Hiyo biashara unapata details za kutosha ukipita kwa watu wawili tofauti unalinganisha ulichoambiwa unachukua hata.

ukisubiri habari zote JF...
 
eeeh haya.
ukweli Jf kuzipata details zote ni very rarely.

watu wanashinda mahusiano na Siasani Ila ukipita kwa Mtu muhusika wa Hiyo biashara unapata details za kutosha ukipita kwa watu wawili tofauti unalinganisha ulichoambiwa unachukua hata.

ukisubiri habari zote JF...

Thank you so much
Your too kind
 
Naitaji mtu ambae yuko Mwanza ambae anafanya biashara za samaki kwa maana ya uchuuzi na usafirishaji mpaka Dar es Salaam.

Au kwa yoyote ambae anajua A to Z ya kununua samaki mpaka usafiri to Dar es Salaam
Kama upo serious nikupe namba ya mfanyabiasha aliye mwanza anayefanya biashara hiyo uongee naye. Ila kwa kiasi kidogo nachofahamu nikuwa mwanza kuna aina mbili ya ufanyaji wa hyo biashara .
1:kuna kununulia mzigo visiwani (kwa wavuvi moja kwa moja )
2: kuna kununulia Mwaloni (kwa wafanya biashara na wavuvi wanaotoa visiwani ndo huleta kuuzia Mwaloni kwa wanunuzi wa mikoani wanaosafirisha.
Kuhusu usafirishaji inategemeana na ukubwa wa mzigo unao chukua, mfn kama unamzigo mkubwa unaweza kukodi gari pekeakao, au mnaweza changia gari wawili au watatu, pia magari huwa yapo pale Mwaloni yametega ko likipata mzigo wakujaa linaanza safari. Uelewa wangu katika mada hii unaishia hapo. Mengine mpaka namm niulize

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara bila reasech ya macho i mean kuona a.k.a kutazama mwenyewe nikuzika Pesa be careful Jomba..

Mtazamo wangu andaa 500,000 nenda Ziwani kafanye reasech..na usiruke kamba.. Mvuvi, wanunuzi, msafirishaji I mean all CHAIN la sivyo unaangukia PUA.

Mtaani kuna Jomba Genge linakuwa kwa speed kumbe jamaa anapunguza mpaka njiti za kiberiti.. Ujazo wa kiberiti njiti 40 yeye anagawa mara mbili jiulize Ganda anatoa wapi? Bado namfanyia reasech so be careful Business is more than a business.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naitaji mtu ambae yuko Mwanza ambae anafanya biashara za samaki kwa maana ya uchuuzi na usafirishaji mpaka Dar es Salaam.

Au kwa yoyote ambae anajua A to Z ya kununua samaki mpaka usafiri to Dar es Salaam
Mkuu jidamke asubuhi; uamkie pale riverside darajani. Apo kuna supplier huwa na muona, waweza enda pata A,B,C,D.

Japo kuna mda ni ngumu kupata taarifa kwa hawa ma suppliers kwa minajali waweza haribu soko.

Ukitaka samaki aina ya "perege' naweza kukuunganisha na mvuvi ambaye yupo direct kwenye bwawa anavua. Uko simiyu.
 
Biashara bila reasech ya macho i mean kuona a.k.a kutazama mwenyewe nikuzika Pesa be careful Jomba..

Mtazamo wangu andaa 500,000 nenda Ziwani kafanye reasech..na usiruke kamba.. Mvuvi, wanunuzi, msafirishaji I mean all CHAIN la sivyo unaangukia PUA.

Mtaani kuna Jomba Genge linakuwa kwa speed kumbe jamaa anapunguza mpaka njiti za kiberiti.. Ujazo wa kiberiti njiti 40 yeye anagawa mara mbili jiulize Ganda anatoa wapi? Bado namfanyia reasech so be careful Business is more than a business.

Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo pesa ya research waweza kuta ndo pesa ya mtaji wake mkuu.
 
Back
Top Bottom