GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kutokana na Unyeti wa hilo Eneo na maeneo mengi ya Kawe ambayo kwa 75% yanazungukwa na hata kukaliwa na Majeshi yetu JKT na JWTZ naomba GENTAMYCINE niwe muwazi kuwa siamini na nakataa kuwa Wahusika ni hawa Panya Road tunaowaimba kila Uchao.
Inakuwaje Eneo lililotokea Tukio Baya jana liwe na Nyumba (Kaya) nyingi vile ila ilengwe tu ile (hiyo) Nyumba?
Ukichunguza Kiumakini utagundua kuwa kuna Uwezekano mkubwa Tukio Baya la Jana ni la Kifamilia (Kiundugu) ambalo limetawaliwa na Kisasi na Kukomoana.
Haya 'Critical Thinking' yangu GENTAMYCINE imeanza hivi nawaomba nanyi pia mje na zenu ili mpaka mwisho tuweze kupata Picha na hata Kiini cha tatizo na Suluhu yake pia.
Poleni Wafiwa kwa huo Msiba.
Inakuwaje Eneo lililotokea Tukio Baya jana liwe na Nyumba (Kaya) nyingi vile ila ilengwe tu ile (hiyo) Nyumba?
Ukichunguza Kiumakini utagundua kuwa kuna Uwezekano mkubwa Tukio Baya la Jana ni la Kifamilia (Kiundugu) ambalo limetawaliwa na Kisasi na Kukomoana.
Haya 'Critical Thinking' yangu GENTAMYCINE imeanza hivi nawaomba nanyi pia mje na zenu ili mpaka mwisho tuweze kupata Picha na hata Kiini cha tatizo na Suluhu yake pia.
Poleni Wafiwa kwa huo Msiba.