una undugu na fid q sio burekweli tumetofautiana,, SITAKI MARAFIKI.
sina undugu ila marafiki sasa hadi nishawishike kua naoππsijui nini kifanyikeuna undugu na fid q sio bure
Kwahyo mi sio rafiki yako tena? πsina undugu ila marafiki sasa hadi nishawishike kua naoππsijui nini kifanyike
mi nikiulizwa rafiki yako ni nani,,jibu ni sina kabisa,,we njoo piga story tucheke then potea,sasa mimi nawewe tukiwa marafiki tutakua tumevunja sheria yetu.Basi wewe ni mwenzangu na mie! Huwa sina rafiki hata mtaani kwangu! Hata leo nikiulizwa rafiki yako nani? Sina jibu! Naomba uwe rafiki yangu wewe maana tunaendana!
woooiii,,jamaa tu ulokua unapita tukapiga mastory kisha shwaaaa,,,sina rafiki na SITAKI MARAFIKIKwahyo mi sio rafiki yako tena? π
Aina noma mkuuwoooiii,,jamaa tu ulokua unapita tukapiga mastory kisha shwaaaa,,,sina rafiki na SITAKI MARAFIKI
nimependa ulivo mwepesi kuelewa ππ usikasirike usaliti umetuharibuπππAina noma mkuu
Apo kwenye wepesi nipo vizuri, huwa sio mwepesi tu kukata tamaa ila mengineyo ni kugusa tu.nimependa ulivo mwepesi kuelewa ππ usikasirike usaliti umetuharibuπππ
Waga ni wa Nigeria wachungaji wao hawana mbwembe mchungaji mkuu ni David oyedepo ndiyo mchungaji tajiri kuliko wote africaNilikuwa na demu uko kitu nilikuwa nashangaa Winners kanisa kubwa kidogo ila mchungaji hajulikani kabisa. Wakati kwa Maghembe anajulikana yule mzee
we safi ungekua rafiki ila ndo basi tenaApo kwenye wepesi nipo vizuri, huwa sio mwepesi tu kukata tamaa ila mengineyo ni kugusa tu.
Sijawai kukasirika.
Sihitaji marafikiwe safi ungekua rafiki ila ndo basi tena
ππππSema sitaki bwana huhitaji ndo nini lugha nyepesi ivo.Sihitaji marafiki
Kumbe ndio maana halina makeke mengiWaga ni wa Nigeria wachungaji wao hawana mbwembe mchungaji mkuu ni David oyedepo ndiyo mchungaji tajiri kuliko wote africa
Sihitaji usinipangieππππSema sitaki bwana huhitaji ndo nini lugha nyepesi ivo.