Nahitaji elimu kuhusu biashara

Nahitaji elimu kuhusu biashara

edalijr

New Member
Joined
Jan 7, 2025
Posts
3
Reaction score
1
WAkuu hivi naomba kuuliza kama una milioni 30 inatosha kuchukua mzigo china ila pesa hiyo hiyo ndio yakufanyia clearance bandarini na kupakia mzigo kutoka china kuleta hapa na kama inatosha ni biashara gani italipa
 
WAkuu hivi naomba kuuliza kama una milioni 30 inatosha kuchukua mzigo china ila pesa hiyo hiyo ndio yakufanyia clearance bandarini na kupakia mzigo kutoka china kuleta hapa na kama inatosha ni biashara gani italipa
Kwa experience yangu ndogo ya miaka 6 kwenye hii biashara ninayofanya

Kama hiyo hela sio ya mkopo
Chukua 25m weka UTT
Then 5m Anza kuchukua mzigo kkoo Anza from scratch otherwise utachoma hizo millions
 
Kwa experience yangu ndogo ya miaka 6 kwenye hii biashara ninayofanya

Kama hiyo hela sio ya mkopo
Chukua 25m weka UTT
Then 5m Anza kuchukua mzigo kkoo Anza from scratch otherwise utachoma hizo millions
Hiyo UTT wanalipaje kwa mfano hyo 25M unapata malipo vipi????
 
Back
Top Bottom