Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Habari
Nahitaji eneo lenye ukubwa wa Ekari 3 kuendelea hata 5 au 6 sio mbaya kwaajiri ya kukodi na kama tutaelewana naweza kubaliana kufanya manunuzi.
Nataka liwe maeneo ya kuanzia kibaha hadi chalinze. Au maeneo ya Bagamoyo. Lisiwe ndani ndani sana maana sio vizuri eneo kuwa ndani sana.
Nipo open kwa suggestions kama kutakuwapo na eneo nje ya hapo kama Morogoro, au hii njia ya tanga.
Umeme ukiwa karibu ni jambo zuri na pia maji kwa maana ya kisima itakuwa poa sana.
Kwa ambaye analo unaweza share hapa taarifa then tuendelee mazungumzo zaidi.
Nahitaji eneo lenye ukubwa wa Ekari 3 kuendelea hata 5 au 6 sio mbaya kwaajiri ya kukodi na kama tutaelewana naweza kubaliana kufanya manunuzi.
Nataka liwe maeneo ya kuanzia kibaha hadi chalinze. Au maeneo ya Bagamoyo. Lisiwe ndani ndani sana maana sio vizuri eneo kuwa ndani sana.
Nipo open kwa suggestions kama kutakuwapo na eneo nje ya hapo kama Morogoro, au hii njia ya tanga.
Umeme ukiwa karibu ni jambo zuri na pia maji kwa maana ya kisima itakuwa poa sana.
Kwa ambaye analo unaweza share hapa taarifa then tuendelee mazungumzo zaidi.