NAHITAJI ENGINE YA LANDROVER 110 - 300 SERIES MILIONI 1.5 CASH MEZANI

NAHITAJI ENGINE YA LANDROVER 110 - 300 SERIES MILIONI 1.5 CASH MEZANI

Mawio

Member
Joined
Nov 25, 2008
Posts
54
Reaction score
23
Wakuu, salaam!!!..

Ninahitaji engine ya Landrover 110 - 300 Series.

Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790

Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni moja na nusu (1,500,000/=)

Shukrani.
 
Bei zako sasa

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!!..

Mkuu Dansmith.

Akhsalaam Aleykhum!!!..

Ni suala la mahitaji na wakati tu Mkuu, January mwaka huu nilibanwa na dharura flani nikauza Noah yangu SR40 number D niliyooingiza moja kwa moja toka Japan ikinigharimu millioni 11 na laki mbili na kuitumia sio zaidi ya mwaka mmoja kwa millioni tano na laki tano Mkuu, lakini Alhamdullilah iniwezesha kutatua tatizo langu na hivyo sikujutia, kwa hio huwezi jua unaweza kuta kuna mdau kabanwa na tatizo na anaihitaji hio millioni moja na nusu kulitatua tatizo lake, ndio maana nikaona tupeane taarifa/fursa mapema kabisa kabla ya January ya ada na mengineyo asije mtu akauza engine hio hio kwa laki 7 na elfu hamsini Mkuu!!! 😀😀😉😉..

Tuko pamoja Mkuu!!!..

Cheers,

Mawio 🙂🙂!!!..
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!!..

Mkuu Dansmith.

Akhsalaam Aleykhum!!!..

Ni suala la mahitaji na wakati tu Mkuu, January mwaka huu nilibanwa na dharura flani nikauza Noah yangu SR40 number D niliyooingiza moja kwa moja toka Japan ikinigharimu millioni 11 na laki mbili na kuitumia sio zaidi ya mwaka mmoja kwa millioni tano na laki tano Mkuu, lakini Alhamdullilah iniwezesha kutatua tatizo langu na hivyo sikujutia, kwa hio huwezi jua unaweza kuta kuna mdau kabanwa na tatizo na anaihitaji hio millioni moja na nusu kulitatua tatizo lake, ndio maana nikaona tupeane taarifa/fursa mapema kabisa kabla ya January ya ada na mengineyo asije mtu akauza engine hio hio kwa laki 7 na elfu hamsini Mkuu!!! 😀😀😉😉..

Tuko pamoja Mkuu!!!..

Cheers,

Mawio 🙂🙂!!!..
Shida hizi we acha to. Mm nimeuza TV yangu ya1.2 kwa 300k
 
Shida hizi we acha to. Mm nimeuza TV yangu ya1.2 kwa 300k

Mkuu, mpaka yamkute mtu ndio ataelewa lugha hii tunayoongea ndugu yangu.

Waswahili wanasema "AISIFIAE MVUA, IMEMNYEA"!!!...

Anyways namshukuru Mwenyezi Mungu niliweza kuvuka changamoto hio, nikaona umuhimu wa asset na namna gani zinaleta maana wakati wa dharura na changamoto kama hizo Mkuu.

Nikutakie kila lililo la kheir unavyoelekea mwisho wa mwaka na uingiapo mwaka 2019

Tuko pamoja Mkuu.

Shukrani,

¬Mawio 🙂🙂!!!..
 
Wakuu, salaam!!!..

Ninahitaji engine ya Landrover 110 - 300 Series.

Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790

Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni moja na nusu (1,500,000/=)

Shukrani.

post zote hizi mkuu za kwako, au dalalili nini

LANDROVER 110 - 300 SERIES INAHITAJIKA!!! - JamiiForums
Nahitaji gari used Landcruiser - JamiiForums
NAHITAJI ENGINE YA LANDROVER 110 - 300 SERIES MILIONI 1.5 CASH MEZANI!!!.. - JamiiForums
Engine ya Toyota Landcruiser ya 1HZ inahitajika - JamiiForums
 

Ha ha ha ha ha ha ha ha!!!..

Mkuu Charles Dotter!!!..

"I'D LOVE TO BE ONE WHEN I GROW UP"!!!..

Kwa sababu kubwa tano zifuatazo;

1. Unahitaji kuwekeza tu katika upatikanaji wa taarifa halafu unaanza kuuza taarifa na unatengeneza pesa.
2. Unarahisisha upatikanaji wa taarifa kwa mlaji toka kwa mzalishaji.
3. Unarahisha usambazaji wa taarifa toka kwa mzalishaji kwenda kwa mlaji.
4. Unatoa ajira kwa maelfu ya wa-Tanzania.
5. Kuna uwezekano mkubwa wa kukusanya mapato makubwa kwa serikali na hatimae maendeleo ya jamii na Taifa kwa ujumla, fikiria dalali (kwa maana na ufafanuzi wa Ki-Tanzania) kupata kodi ya mwezi mzima ya nyumba, ghala n.k, asilimia kumi (10%) ya mauzo ya kiwanja, gari, rasilimali nyinginezo n.k kwa nini serikali pia isipate kodi yake stahiki toka kwa dalali husika, hii sekta irasimishwe na iangaliwe kwa ukaribu sana ili kumlinda mlaji na kupanua wigo wa mapato kwa serikali. Ni Sekta Mtambuka na inamgusa kila mtu katika maisha ya kila siku ya wa-Tanzania.

Hapana, kwa sasa ninajaribu kujiweka sawa kwa upande wa vitendea kazi kwa minajili ya kuingia kwenye kilimo 2019 ndugu yangu.

Shukrani Mkuu.

¬Mawio 🙂🙂!!!..
 
Back
Top Bottom