Nahitaji excavator

BUHUMULO

Member
Joined
Jul 2, 2013
Posts
8
Reaction score
0
Kama kuna mtu anajua mahali ambapo naweza kupata excavator ya msaada lakini ni kalipia gharama ndogo. Naomba msaada maana bei za laki 8 kwa siku sitaweza. Nataka kuchimba bwawa la samaki maeneo ya vikindu.nina mil moja. Najiuliza je mkurugenzi wa wilaya hawezi kusaidia kama tuko kikundi? Naomba mawazo yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…