Nahitaji excavator

Nahitaji excavator

BUHUMULO

Member
Joined
Jul 2, 2013
Posts
8
Reaction score
0
Kama kuna mtu anajua mahali ambapo naweza kupata excavator ya msaada lakini ni kalipia gharama ndogo. Naomba msaada maana bei za laki 8 kwa siku sitaweza. Nataka kuchimba bwawa la samaki maeneo ya vikindu.nina mil moja. Najiuliza je mkurugenzi wa wilaya hawezi kusaidia kama tuko kikundi? Naomba mawazo yenu.
 
Back
Top Bottom