Wahi makalio yako kengeNawahi siti ila sio y gari lako
Habar zenu Wadau
Baba mkwe wangu kaniagiza kuwa anahitaji kununuwa gari ya family car ana bajeti ya milion 14 tu.
Sifa za gari hiyo ni;
1) Iwe ni 4 cylinder
2) Haili mafuta mengi
3) Imara
4) Spear zake ziwe zinapatikana kiurahisi
KIMSINGI SINA ELIMU SANA YA MAGARI HIVYO NAOMBA MSAADA WENU WA MAWAZO ILI NIMPATIYE MAJIBU AWEZE KUKAMILISHA NDOTO ZAKE
Haaaaaa daah mkuu saluteWahi makalio yako kenge
unawahi siti bila msaada!Nawahi siti ila sio y gari lako
ipo Toyota Noah.. ukihitaji nicheki nikupe kwa bei nzuri tuHabar zenu Wadau
Baba mkwe wangu kaniagiza kuwa anahitaji kununuwa gari ya family car ana bajeti ya milion 14 tu.
Sifa za gari hiyo ni;
1) Iwe ni 4 cylinder
2) Haili mafuta mengi
3) Imara
4) Spear zake ziwe zinapatikana kiurahisi
KIMSINGI SINA ELIMU SANA YA MAGARI HIVYO NAOMBA MSAADA WENU WA MAWAZO ILI NIMPATIYE MAJIBU AWEZE KUKAMILISHA NDOTO ZAKE
Kwa kweli kwa sifa anazotaja zote zinaangukia kwenye Noah, hatajuta.!!!!Habar zenu Wadau
Baba mkwe wangu kaniagiza kuwa anahitaji kununuwa gari ya family car ana bajeti ya milion 14 tu.
Sifa za gari hiyo ni;
1) Iwe ni 4 cylinder
2) Haili mafuta mengi
3) Imara
4) Spear zake ziwe zinapatikana kiurahisi
KIMSINGI SINA ELIMU SANA YA MAGARI HIVYO NAOMBA MSAADA WENU WA MAWAZO ILI NIMPATIYE MAJIBU AWEZE KUKAMILISHA NDOTO ZAKE
Chukua TOYOTA ALPHARD, cc2400. Ukiagiza JAPAN itakugharimu 15m-17m ila unaweza pata kwa mtu kwa 14m. Mojawapo ya magari mazuri kwa familia za huku ulimwengu wa tatu
Huwa siwaelewi watu wanaotaka kununua gari huku wakisema isile mafuta sana,sasa kama umeweza kununua gari la zaidi ya milioni 15 hivi laki 2 ya mafuta kwa mwezi nayo itakushinda? Mbona Pombe,Guests,kuhonga zinazidi laki 7 kwa mwezi? kwani kuna gari hizi za japenga zinakula 1ltr kwa 1km? Nyingi zinarange 8km mpaka 17km kwa 1ltr,kama unataka mafuta yatumike kidogo nunua hybrid,hakuna gari isiyotumia mafuta au ulitaka inayotumia mchuzi wa supu(Kidding)?