Hapo wewe tafuta toyota wish siti7 cc 1800, au noahMmh! Alphard ni nzur sana but Mafuta inakula balaa
Kwelihizo zinamfaaHapo wewe tafuta toyota wish siti7 cc 1800, au noah
Toyota ISIS Platana, 1.8L 1ZZ-FE engine itakufaa, ni gari nzuri sana kwa familia. Kwa vile umesema hutaki gari inayobwia mafuta, gari inayokula 1l kwa 12km sio mbaya.Hapo wewe tafuta toyota wish siti7 cc 1800, au noah
Laki 2 kwa mwezi kwa ajili ya mafuta tu! ! AiseeHuwa siwaelewi watu wanaotaka kununua gari huku wakisema isile mafuta sana,sasa kama umeweza kununua gari la zaidi ya milioni 15 hivi laki 2 ya mafuta kwa mwezi nayo itakushinda? Mbona Pombe,Guests,kuhonga zinazidi laki 7 kwa mwezi? kwani kuna gari hizi za japenga zinakula 1ltr kwa 1km? Nyingi zinarange 8km mpaka 17km kwa 1ltr,kama unataka mafuta yatumike kidogo nunua hybrid,hakuna gari isiyotumia mafuta au ulitaka inayotumia mchuzi wa supu(Kidding)?
Kwa mil 14?Rav4 kili time cc 1800 vvti model 2001 to 2005 inamfaa kabsa bila tabu
Ndio unapata tena nzuri tu.Kwa mil 14?
Kwa wadada,nakushauri nunua Toyota Rush kwanza ni Compact,ina 4WD na iko juu tofauti na Sedan. Ila bei yake ni kuanzia 15m/- na kuendelea! Ni VVT-i na ina cc1500.Kama gari gani ndio inarenji hapo
900-1500
Samahani boss unatumia usafiri gani?Huwa siwaelewi watu wanaotaka kununua gari huku wakisema isile mafuta sana,sasa kama umeweza kununua gari la zaidi ya milioni 15 hivi laki 2 ya mafuta kwa mwezi nayo itakushinda? Mbona Pombe,Guests,kuhonga zinazidi laki 7 kwa mwezi? kwani kuna gari hizi za japenga zinakula 1ltr kwa 1km? Nyingi zinarange 8km mpaka 17km kwa 1ltr,kama unataka mafuta yatumike kidogo nunua hybrid,hakuna gari isiyotumia mafuta au ulitaka inayotumia mchuzi wa supu(Kidding)?
Kwa hizo cc ulizotaja huwezi kupata family car nzuri,ningekushauri uchukue zenye cc 2000-2500 hizi engine zake ukikuta ni VVTi ziko vizuri sana...
Yap kwa siku 20 za kuenda kazini laki 2 ni nyingi sana labda uwe unaishi nje ya mji unafanya kazi posta lakini kama upo ndani ya mji mafuta ya elfu 7 au 8 unaenda na kurudi kazini.Laki 2 kwa mwezi kwa ajili ya mafuta tu! ! Aisee
Baiskeli mkuu Phoenix.Samahani boss unatumia usafiri gani?
Okay boss, just needed to knowBaiskeli mkuu Phoenix.
kuna Toyota wish, nadia, noah, na ipsum hizo zitakufaa sanaHabar zenu Wadau
Baba mkwe wangu kaniagiza kuwa anahitaji kununuwa gari ya family car ana bajeti ya milion 14 tu.
Sifa za gari hiyo ni;
1) Iwe ni 4 cylinder
2) Haili mafuta mengi
3) Imara
4) Spear zake ziwe zinapatikana kiurahisi
KIMSINGI SINA ELIMU SANA YA MAGARI HIVYO NAOMBA MSAADA WENU WA MAWAZO ILI NIMPATIYE MAJIBU AWEZE KUKAMILISHA NDOTO ZAKE
Gari yenye CV hiyo labda massey fagason (tractor)Habar zenu Wadau
Baba mkwe wangu kaniagiza kuwa anahitaji kununuwa gari ya family car ana bajeti ya milion 14 tu.
Sifa za gari hiyo ni;
1) Iwe ni 4 cylinder
2) Haili mafuta mengi
3) Imara
4) Spear zake ziwe zinapatikana kiurahisi
KIMSINGI SINA ELIMU SANA YA MAGARI HIVYO NAOMBA MSAADA WENU WA MAWAZO ILI NIMPATIYE MAJIBU AWEZE KUKAMILISHA NDOTO ZAKE
Hiyo cc utamuua na presha.Chukua TOYOTA ALPHARD, cc2400. Ukiagiza JAPAN itakugharimu 15m-17m ila unaweza pata kwa mtu kwa 14m. Mojawapo ya magari mazuri kwa familia za huku ulimwengu wa tatu