Nahitaji faraja yenu wakuu. Kuachana na mtu unayempenda ni msiba mzito

Nahitaji faraja yenu wakuu. Kuachana na mtu unayempenda ni msiba mzito

mchoto

Member
Joined
Jan 18, 2023
Posts
33
Reaction score
61
Nilikuwa kwenye mahusiano karibia miaka miwili mwanaume hataki nifike anapoishi mwaka huu nimelazimisha kwenda kwake anapoishi amenitukana sana na kunifukuza na panga pamoja rungu.

Nilijipa muda akaomba msamaha ila mawasiliano yalikuwa hafifu juzi mwezi huu wa 7 nilimpa taarifa kuwa nitakuwa kikazi Dar ( mkoa anaofanya kazi) alinieleza kuwa nisifike kwake nifanye tu kazi iliyonileta.

Nililazimisha kwenda anapoishi alinipokea kishingo upande ila alinitukana sana na kutishia kuniletea polisi. Asubuhi nilienda kwenye majukumu yangu niliporudi kwake nikakuta amevusha mwanamke.

Majirani walinisikitikia sana wanasema kuwa hiyo ni tabia yake kubadilisha wanawake kila siku hasa bar maids! Nilipomkuta huyo mwanamke ndani nilijisikia vibaya nikatoa ya moyoni kwa huyo mchumba wangu na kuondoka Nimekubali tu yaishe nisije kupata maradhi kwa kung'ang'ania mwanaume mwenye wanawake wengi !

Hapa nilipo ninayo namaumivu yasiyo elezeka kwa sababu amenioneshea live huyo mwanamke! Majirani wananieleza afadhali hata umeona mwenyewe kuliko wangesema wao tabia yake ya kubadilisha wanawake hasa bar maids .

Huyu aliyekuwa mchumba wangu ni mfanyakazi wa serikali anaepata seminar mikoa mbalimbali ila kila siku ananiomba pesa kila ninapomdai anirudishie pesa nilizomkopea anazua ugomvi. Baadhi ya majirani wanasema ni tabia yake kuhongwa na wanawake mtaani hasa manesi wa single mothers wanao jiweza wanalalamika kuwa anapenda kuhongwa (anapenda mserereko) kweli nimeamini fimbo ya mbali haiui nyoka

NAHITAJI FARAJA YENU WAKUU KUACHANA NA MTU UNAYEMPENDA NI MSIBA MZITO
 
Mtu anakushikia panga akuue ww unasema bado unampenda??!!
Hii kiboko aiseee.!!
Mbona unapenda kijinga hivyo? Umelogwa?
Amefata maokoto pasipo kupendwa, kisa huyo mwanaume anafanya kazi serikalini na anapata semina zenye marupurupu Kila siku, ndo maana ana mng'ang'ania, si ajabu akiambiwa atoe ata mkundu atatoa na ataliwa, ila Bado atafukuzwa ka mbwa maaaaamae zake.

Mpende akupendaye asie kupenda temana nae
 
Yalinikuta hayo mwezi wa 3. Nikafanya maamuzi ya kupiga chini ile mamaz.

Kwanza nilifuta no. yake, picha zake na kila kinacho muhusu.

Nilikua sipokei simu zaje, sijibu sms zake kwa muda wa mwezi mmoja.

Kuna siku akapiga, simu ikapokelewa na mwanamke mwenzie akaambiwa aache usumbufu.

Saiv hanishtui, japo bado anaendekea kunitext ila najibu ninapo jiskia tu.
 
Nilikuwa kwenye mahusiano karibia miaka miwili mwanaume hataki nifike anapoishi mwaka huu nimelazimisha kwenda kwake anapoishi amenitukana sana na kunifukuza na panga pamoja rungu.

Nilijipa muda akaomba msamaha ila mawasiliano yalikuwa hafifu juzi mwezi huu wa 7 nilimpa taarifa kuwa nitakuwa kikazi Dar ( mkoa anaofanya kazi) alinieleza kuwa nisifike kwake nifanye tu kazi iliyonileta.

Nililazimisha kwenda anapoishi alinipokea kishingo upande ila alinitukana sana na kutishia kuniletea polisi. Asubuhi nilienda kwenye majukumu yangu niliporudi kwake nikakuta amevusha mwanamke.

Majirani walinisikitikia sana wanasema kuwa hiyo ni tabia yake kubadilisha wanawake kila siku hasa bar maids! Nilipomkuta huyo mwanamke ndani nilijisikia vibaya nikatoa ya moyoni kwa huyo mchumba wangu na kuondoka Nimekubali tu yaishe nisije kupata maradhi kwa kung'ang'ania mwanaume mwenye wanawake wengi !

Hapa niliponinayo namaumivu yasiyo elezeka kwa sababu amenioneshea live huyo mwanamke! Majirani wananieleza afadhali hata umeona mwenyewe kuliko wangesema wao tabia yake ya kubadilisha wanawake hasa bar maids .

Huyu aliyekuwa mchumba wangu ni mfanyakazi wa serikali anaepata seminar mikoa mbalimbali ila kila siku ananiomba pesa ninavyomdai anazua ugomvi. Baadhi ya majirani wanasema ni tabia ya kuhongwa na wanawake (anapenda mserereko) kweli nimeamini fimbo ya mbali haiui nyoka

NAHITAJI FARAJA YENU WAKUU KUACHANA NA MTU UNAYEMPENDA NI MSIBA MZITO
Acha kung'ang'ania mtu asiekupenda, utaliwa mpaka kama hupendwi hupendwi tuu, usilazimishe mapenzi, mpende akupendaye asie kupenda achana nae
 
Msenge huyo, amefata maokoto pasipo kupendwa, kisa huyo mwanaume anafanya kazi serikalini na anapata semina zenye marupurupu Kila siku, ndo maana ana mng'ang'ania, si ajabu akiambiwa atoe ata mkundu atatoa na ataliwa, ila Bado atafukuzwa ka mbwa maaaaamae zake.

Mpende akupendaye asie kupenda temana nae
Kumbe??
Sasa status ya mtu anafaidika nayo nini km anashikiwa had panga??
Km pesa si atafute zake hapo anahatarisha uhai wake.!
 
Mi niliposoma heading nikajua mahusiano serious watu wameachana hadi nikapata huzuni kumbe ushubwada.

Wa kupendana naye ndio huyo? Hata pole hustahili mwaya, saa hizi unatakiwa kupiga goti la shukrani kwa Mungu usonge mbele.
 
Back
Top Bottom