Attainer Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 433
- 790
Haha kuna mambo huwa hayaelezeki aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo pa kukupa pesa basi hawezi kuja ushamkosa 😹😹😹hahaha.. namsubiri PM tu... nimpe faraja la kibabe.. muhimu location na awe na pesa za kutumia kumfariji..
Huo sio upendo wa pesa kijana.Msenge huyo, amefata maokoto pasipo kupendwa, kisa huyo mwanaume anafanya kazi serikalini na anapata semina zenye marupurupu Kila siku, ndo maana ana mng'ang'ania, si ajabu akiambiwa atoe ata mkundu atatoa na ataliwa, ila Bado atafukuzwa ka mbwa maaaaamae zake.
Mpende akupendaye asie kupenda temana nae
Kwani huo utamu si unaishia hapo hapo au unaendelea?? 😹😹😹Kukojoa utamu wake anaujua anaekojoa
Utamu unaishi nao Miguu inatetemeka km umeshikwa degedege full kelele utafikiri unauwawa kumbe unakojoaKwani huo utamu si unaishia hapo hapo au unaendelea?? 😹😹😹
hahaha! faraja bila hela ni makelele.. alafu kwanza hajataja location.. isije akawa jirani.. nikamvuta hata gheto tupige mastory hadi kucheleeeHapo pa kukupa pesa basi hawezi kuja ushamkosa 😹😹😹
Siwezi liwa kimasihara mkuu labda nitake mwenyewe kuliwaTuone picha yako kwanza... eniwei, mapenzi ni upofu so move on ingawa ni ngumu ila utaweza tu, na uwe makini sana maana kipindi hiki unachohitaji faraja ni rahisi kujikuta umeliwa kimasihara.
Ni kweli unaweza kumpenda mtu hadi ukawa kama mwehu namwelewa mtoa mada hali anayoipitiaHuo sio upendo wa pesa kijana.
Wanawake hawaeleweki ndgu.
Wewe umekalili kua wanapenda pesa tuu, ohoo utaachwa ndgu.
Huyo binti akiulizwa anampendea nini huyo kijana atajibu hata yeye hajui
Kijana haelewi anadhani kila mwanamke anempapatikia mtu basi huyo mwanaume ana pesa sana au anahonga sana.Ni kweli unaweza kumpenda mtu hadi ukawa kama mwehu namwelewa mtoa mada hali anayoipitia
Okay 👍View attachment 3046708
Samahani wakuu nimechelewesha viti, naomba mkae tafafhali.
Muhimu: Utampata aliyesahihi kwa wakati sahihi(wakuendana na wewe).
My dear it's raining anywhereNilikuwa kwenye mahusiano karibia miaka miwili mwanaume hataki nifike anapoishi mwaka huu nimelazimisha kwenda kwake anapoishi amenitukana sana na kunifukuza na panga pamoja rungu.
Nilijipa muda akaomba msamaha ila mawasiliano yalikuwa hafifu juzi mwezi huu wa 7 nilimpa taarifa kuwa nitakuwa kikazi Dar ( mkoa anaofanya kazi) alinieleza kuwa nisifike kwake nifanye tu kazi iliyonileta.
Nililazimisha kwenda anapoishi alinipokea kishingo upande ila alinitukana sana na kutishia kuniletea polisi. Asubuhi nilienda kwenye majukumu yangu niliporudi kwake nikakuta amevusha mwanamke.
Majirani walinisikitikia sana wanasema kuwa hiyo ni tabia yake kubadilisha wanawake kila siku hasa bar maids! Nilipomkuta huyo mwanamke ndani nilijisikia vibaya nikatoa ya moyoni kwa huyo mchumba wangu na kuondoka Nimekubali tu yaishe nisije kupata maradhi kwa kung'ang'ania mwanaume mwenye wanawake wengi !
Hapa niliponinayo namaumivu yasiyo elezeka kwa sababu amenioneshea live huyo mwanamke! Majirani wananieleza afadhali hata umeona mwenyewe kuliko wangesema wao tabia yake ya kubadilisha wanawake hasa bar maids .
Huyu aliyekuwa mchumba wangu ni mfanyakazi wa serikali anaepata seminar mikoa mbalimbali ila kila siku ananiomba pesa ninavyomdai anazua ugomvi. Baadhi ya majirani wanasema ni tabia ya kuhongwa na wanawake (anapenda mserereko) kweli nimeamini fimbo ya mbali haiui nyoka
NAHITAJI FARAJA YENU WAKUU KUACHANA NA MTU UNAYEMPENDA NI MSIBA MZITO