Nahitaji faraja...!

Nahitaji faraja...!

Museven

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2011
Posts
629
Reaction score
449
Mimi ni kijana wa kiume. Nahitaji msichana wa kunifariji & kuniliwaza kimapenzi! Awe girlfriend wangu mwaminifu na anayejua mahitaji ya mwanaume kimapenzi. Kwa mawasiliano PM me, please!
 
You seems to be very selfish! Uliwazwe wewe tuuuuuuuuu! Na huyo gal nani atamliwaza?
Anyway, kila la kheri.


Mimi ni kijana wa kiume. Nahitaji msichana wa kunifariji & kuniliwaza kimapenzi! Awe girlfriend wangu mwaminifu na anayejua mahitaji ya mwanaume kimapenzi. Kwa mawasiliano PM me, please!
 
mnh..................ulivomaliza,Kwa mawasiliano PM me, please!
 
duh heri yako umeamua kuweka wapi nini unahitaji maana hapo hutangazi ndoa hahahahah
 
Back
Top Bottom