Nahitaji faraja

Nahitaji faraja

Kwakweli naumia
sana,nahitaji ushauri wenu ili niweze kufarijika na kujirekebisha pale
nilipo na makosa, NAOMBENI MNIPOKEE

nitafute utapata kila namna ya faraja.Karibu kinywaji kwanza.
 
Karibu kwenye kisima cha burudani, elimu na liwazo.
 
Kwanza na kupokea karibu kwa mikono yote mitatu ohoo sorry miwili watatu achana nao!+la ningependa kujua nini kinakutatiza mpaka ukachukua uamuzi wakujiunga na JF hata kwa kuni PM karibu

Umle nyama
 
Back
Top Bottom