Nahitaji Fremu ya Biashara Maeneo ya Tabata

Nahitaji Fremu ya Biashara Maeneo ya Tabata

werawera

Senior Member
Joined
Oct 5, 2010
Posts
138
Reaction score
41
Natafuta fremu maeneo ya Tabata, isiwe mbali na Tabata Relini au Tabata Mwanachi. Nina maana isiwe mbali na Barabara kuu ya Mandela.

- Fremu iwe Kubwa kama zile zinazoitwa 2 in 1 - (Futi 20 kwa 10) Au inayofanana.
- Liwe eneo lenyewe mzunguko mzuri au mkubwa wa watu...

Tafadhali anayefahamu Frem hiyo anijulishe kwa PM.
 
Back
Top Bottom