Masokwe
JF-Expert Member
- Mar 30, 2019
- 454
- 682
Helo wakuu nahitaji fundi mzuri wa ujenzi, na awe na utaalamu wa kujenga hizi nyumba za kuficha paa.
Kwa sasa nahitaji kupandisha boma kwanza, nyumba ni vyumba 2, kimoja self, jiko seble dining.
Bei ziwe nzuri, mimi ni wale wazee wa kudunduliza ila napenda kitu nzuri
Fundi akitokea maeneo ya chanika zingiziwa itakuwa jambo zuri sana, maana ndio kiwanja kilipo.
Pia nitahitaji dizaina wa ramani, arekebishe jambo katika ramani yangu, japo msingi tayari nishajenga.
Karibuni inbox na hapa ubaoni
Kwa sasa nahitaji kupandisha boma kwanza, nyumba ni vyumba 2, kimoja self, jiko seble dining.
Bei ziwe nzuri, mimi ni wale wazee wa kudunduliza ila napenda kitu nzuri
Fundi akitokea maeneo ya chanika zingiziwa itakuwa jambo zuri sana, maana ndio kiwanja kilipo.
Pia nitahitaji dizaina wa ramani, arekebishe jambo katika ramani yangu, japo msingi tayari nishajenga.
Karibuni inbox na hapa ubaoni