Nahitaji gari aina ya Fuso, bajeti yangu milioni 22

Nahitaji gari aina ya Fuso, bajeti yangu milioni 22

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
Wakuu Habari.

Kama kichwa cha habari kinavyoonekana, bajeti yangu ni milion 22

Na naitaji Gari aina ya Fuso

Kwa yeyote anaeuza basi anidm tufanye biashara

Niko Dar es Salaam
 
Mkuu kuna Fuso tipa, longbase, engine kuna 15, 16 ama 17. Kuna ya umeme na ya kawaida kuna box body na body ya bomba? Wewe unataka ipi?
 
Mkuu fuso ya tani 15?
Unamaanisha ile yenye axle configuration ya 4×2? Yaani jumla matairi 6?

Ngoja tuone mkuu, hakishindikani kitu

Okay sawa sawa
 
Fuso ya bei hiyo utakuwa unanunua matatizo, haijalishi iwe single, tandam, 17,16 or 15. As long as ni fuso, pesa hiyo hutapata Gari: budget yako iwe 35 then utapata gari nzuri:
 
Fuso ya bei hiyo utakuwa unanunua matatizo, haijalishi iwe single, tandam, 17,16 or 15. As long as ni fuso, pesa hiyo hutapata Gari: budget yako iwe 35 then utapata gari nzuri:

Thank you kwa ushauri mzuri
 
Fuso ya bei hiyo utakuwa unanunua matatizo, haijalishi iwe single, tandam, 17,16 or 15. As long as ni fuso, pesa hiyo hutapata Gari: budget yako iwe 35 then utapata gari nzuri:
Mkuu unaweza elezea hizi aiseee kwa undani
 
Single ni diff moja, vile inabyokuja toka japan inaweza kubeba ton 10, tandam ni pale inapoongezwa mswaki ( sijui hata Kama unaelewa) mwingine nyuma inakuwa double diff, yaani tairi 8 nyuma, hii inaweza beba 15T, number 17 , 16 na 15 ni matoleo ya Engine , ni Kama Scania 113, 124, R420 n.k
 
Utofaut kat ya single.. Tandam.. 15 16 17
15 is thé latest of the version, umeme mwingi na turbo pia, 16 kadhalika , in turbo , cabin ndo na speed Kama zote . Super powerful, 17 ni chombo ya zaman, nyingi ni kavu, cabin pana, mdogo mdogo lakin zinaishi sana

For comparison 17 ni Kama 113, 16 ni Kama R na 15 ni Kama XT
 
Single ni diff moja, vile inabyokuja toka japan inaweza kubeba ton 10, tandam ni pale inapoongezwa mswaki ( sijui hata Kama unaelewa) mwingine nyuma inakuwa double diff, yaani tairi 8 nyuma, hii inaweza beba 15T, number 17 , 16 na 15 ni matoleo ya Engine , ni Kama Scania 113, 124, R420 n.k
Assnte sana mkuu... hii Tandam T15 one day ntainunua..
 
Back
Top Bottom