Nahitaji gari aina ya Fuso, bajeti yangu milioni 22

Nahitaji gari aina ya Fuso, bajeti yangu milioni 22

Assnte sana mkuu... hii Tandam T15 one day ntainunua..
Tandam hazina future tena kwa sasa. Kama unaweza kupata kipisi mende ukabeba tani 21 kwa gharama ya mil 100. Lakin kuipata tandam msumariii ni kama mil 80-100 na ukabeba tani 17 huku ukijua ni roho mkononi na utenge bajeti ya engine overhaul kila baada ya miaka kadhaa huoni kuwa ni matumizi mabaya ya akili na fedha?
 
Assnte sana mkuu... hii Tandam T15 one day ntainunua..
Tandam hazina future tena kwa sasa. Kama unaweza kupata kipisi mende ukabeba tani 21 kwa gharama ya mil 100. Lakin kuipata tandam msumariii ni kama mil 80-100 na ukabeba tani 17 huku ukijua ni roho mkononi na utenge bajeti ya engine overhaul kila baada ya miaka kadhaa huoni kuwa ni matumizi ma
Wakuu Habari.

Kama kichwa cha habari kinavyoonekana, bajeti yangu ni milion 22

Na naitaji Gari aina ya Fuso

Kwa yeyote anaeuza basi anidm tufanye biashara

Niko Dar es Salaam
Nicheki whatsapp 0755963775. Fasta
 
Tandam hazina future tena kwa sasa. Kama unaweza kupata kipisi mende ukabeba tani 21 kwa gharama ya mil 100. Lakin kuipata tandam msumariii ni kama mil 80-100 na ukabeba tani 17 huku ukijua ni roho mkononi na utenge bajeti ya engine overhaul kila baada ya miaka kadhaa huoni kuwa ni matumizi mabaya ya akili na fedha?
Mkuu kipisi mende unaweza weka trailer nyuma..? Maana naona kipisi mende huwa nying zinabeba mchangaa..
 
Mkuu kipisi mende unaweza weka trailer nyuma..? Maana naona kipisi mende huwa nying zinabeba mchangaa..
Sijaelewa hiyo trailer unayoisemea ni ipi! Mimi nilizungumzia kuiwekea body na sio kuiwekea trailer mkuu.
Yaani badala ya body ya tipa unaweka body ya muzigo ya kawaida.
 
Sijaelewa hiyo trailer unayoisemea ni ipi! Mimi nilizungumzia kuiwekea body na sio kuiwekea trailer mkuu.
Yaani badala ya body ya tipa unaweka body ya muzigo ya kawaida.
Nimekupata mkuu ndicho nilichomaanisha.. maana mende nying huwa naona n za mchanga za body sijawah ziona
 
Nimekupata mkuu ndicho nilichomaanisha.. maana mende nying huwa naona n za mchanga za body sijawah ziona
Zipo nyingi sana kuanzia orijinal yaani zinazotoka kwa mtengenezaji huko ulaya zikiwa mende hadi zile zinazofanyiwa marekebisho hapahapa nchini
 
Zipo nyingi sana kuanzia orijinal yaani zinazotoka kwa mtengenezaji huko ulaya zikiwa mende hadi zile zinazofanyiwa marekebisho hapahapa nchini
Thanks mkuu... Nisaidie bei zile zinazofanyiwa marekebisho hapa Tanzania
 
Thanks mkuu... Nisaidie bei zile zinazofanyiwa marekebisho hapa Tanzania
Sijajua kuwa kuwa unaitka iliyofanyiwa marekebisho ya namna gani!
1.
Kuna zile mtu anaagiza kichwa cha lori (tractor unit) kutoka ulaya chenye axle conf ya 6×2 ikiwa na mid lift unaileta bongo kisha unaipeleka kwa fundi wanatoa ile axle ya nyuma wanaziacha zile mbili stable axle na ile iliyokua midlift baada ya hapo wanarefusha chasses na kukufungia nyuma axle mbili za jumla ya tairi 8 ambapo axle moja itakua ndio ina Diff.
2.
Kuna ile unaagiza ulaya kichwa kile chenye 4*2 kisha unakuja kukifanyia mchakato kama wa namba 1 hapo juu hivyo utaongeza jumla ya axles 2 ambapo moja itakua mbele na mbili zitakua nyuma na ukumbuke hizo axle za nyuma zinakua ni single diff yaani 8×2 japo ukitaka mbwembwe au kutokana na nature ya matumizi yako unawsza kutia double diff.
3.
Kununua ulaya kipisi (rigid) cha 4×2 au kile cha 6×2 ama cha 6×4. Ukichukua hicho kipisi cha 4×2 basi utaongezea eaxle moja inayokata kona pale mbele na huku nyuma utaongezea axle ya kawaida moja na kuifanya iwe mende. Kama 6×2 au 6×4 basi utaongezea axle moja tu ya kukata kona pale mbele. Na kwa hivyo vipisi unaweza kuviongezea urefu kama vitakua ni vifupi ili kukidhi mahitaji ya body ya mozigo.
4.
Kununua mende tipa kisha kuja kuvua ile body ya tipa kisha kuijengea body ya mizigo ya kawaida.
GHARAMA.
Hapa gharama zinatofautiana baina ya fundi na fundi ama eneo moja na jingine. Maeneo maarufu yenye wataalamu wa kufanya modifications hizo hapo juu ni Dar, Moshi na Arusha japo Mwanza na Dodoma nao naskia kwa sasa wamepata mafundi wazuri.
Kwa item namba 1 kwa Dar gharama zilikua zinafika hadi 10M kuibadili kichwa cha 6×2 na 4×2 kuwa rigid ya 8×2 na chasis yake pasibo body iliyojengewa na hiyo ilikua mwaka juzi.
Kwa upande wa rigids ambazo unaongezea tu axle moja ya kukata kona yaani item namba 3 hapo juubasi gharama zake hazizidi milion 5.
USHAURI
Kuliko kununua Fuso na kwenda kuifanya tandam aisee ni mara mia uchukue kichwa cha milion 70 ama 80 ukaja kukifanya kiwe kipisi kwa gharama ya juu yake kama M 15 hadi 20 kwa sababu zifuatazo:
😐mende inabeba tani 21(japo kama upiti mzani unaweza kujitwisha hadi tani 25 lakini tandam inabeba tani 17 Maxmum.
😐Mende inadumu na kuvumilia katika suala la engine lakin tandam ni kawaida kuua engine ama kufanya overhaul ikizidi miaka 5 basi una bahati.
😐mende inajitahidi katika suala la breki wakati wa dharula lakini tandam aisee i kudra za Mungu na kujua hili tafuta ajali nyingi za kujaa nyuma kati ya tandam na mende utaniambia.
😐Maboresho ya mende hayaathiri kivyovyote utendajikazi wa engine yake kwani ipo disigned kuhandle hiyo mizigo maana mende nyingi unazikuta zikiwa na HP 300 and plus lakin tandam engine ni 200 HP ikiwa designed kuhandle mizigo ama kutoa nguvu ya kati hivyo kuifanyisha kazi ya kuitwisha tani 17 ni kuiteza engine na ndio maana leakage na kufa ni kawaida.
😐Gharama za maboresh ya kichwa cha scania 4×2 kuwa mende ni karibu sawa na maboresho ya fuso kuw tandam maana Fuso tandam iliyosimama ni kama 80-100M lakini kununua scania 6×2 ama 4×2 P 380 kalii ni mil 70-90 ukiongeza nagharama za maboresho hufika jumla ya 110M kwa mende iliyotayari kwa ajili ya kazi.
Huo ndio ufahamu wangu japo kama kuna wengine wenye ufahamu na data zaidi wanaweza kukuongezea taarifa.
 
Sijajua kuwa kuwa unaitka iliyofanyiwa marekebisho ya namna gani!
1.
Kuna zile mtu anaagiza kichwa cha lori (tractor unit) kutoka ulaya chenye axle conf ya 6×2 ikiwa na mid lift unaileta bongo kisha unaipeleka kwa fundi wanatoa ile axle ya nyuma wanaziacha zile mbili stable axle na ile iliyokua midlift baada ya hapo wanarefusha chasses na kukufungia nyuma axle mbili za jumla ya tairi 8 ambapo axle moja itakua ndio ina Diff.
2.
Kuna ile unaagiza ulaya kichwa kile chenye 4*2 kisha unakuja kukifanyia mchakato kama wa namba 1 hapo juu hivyo utaongeza jumla ya axles 2 ambapo moja itakua mbele na mbili zitakua nyuma na ukumbuke hizo axle za nyuma zinakua ni single diff yaani 8×2 japo ukitaka mbwembwe au kutokana na nature ya matumizi yako unawsza kutia double diff.
3.
Kununua ulaya kipisi (rigid) cha 4×2 au kile cha 6×2 ama cha 6×4. Ukichukua hicho kipisi cha 4×2 basi utaongezea eaxle moja inayokata kona pale mbele na huku nyuma utaongezea axle ya kawaida moja na kuifanya iwe mende. Kama 6×2 au 6×4 basi utaongezea axle moja tu ya kukata kona pale mbele. Na kwa hivyo vipisi unaweza kuviongezea urefu kama vitakua ni vifupi ili kukidhi mahitaji ya body ya mozigo.
4.
Kununua mende tipa kisha kuja kuvua ile body ya tipa kisha kuijengea body ya mizigo ya kawaida.
GHARAMA.
Hapa gharama zinatofautiana baina ya fundi na fundi ama eneo moja na jingine. Maeneo maarufu yenye wataalamu wa kufanya modifications hizo hapo juu ni Dar, Moshi na Arusha japo Mwanza na Dodoma nao naskia kwa sasa wamepata mafundi wazuri.
Kwa item namba 1 kwa Dar gharama zilikua zinafika hadi 10M kuibadili kichwa cha 6×2 na 4×2 kuwa rigid ya 8×2 na chasis yake pasibo body iliyojengewa na hiyo ilikua mwaka juzi.
Kwa upande wa rigids ambazo unaongezea tu axle moja ya kukata kona yaani item namba 3 hapo juubasi gharama zake hazizidi milion 5.
USHAURI
Kuliko kununua Fuso na kwenda kuifanya tandam aisee ni mara mia uchukue kichwa cha milion 70 ama 80 ukaja kukifanya kiwe kipisi kwa gharama ya juu yake kama M 15 hadi 20 kwa sababu zifuatazo:
[emoji52]mende inabeba tani 21(japo kama upiti mzani unaweza kujitwisha hadi tani 25 lakini tandam inabeba tani 17 Maxmum.
[emoji52]Mende inadumu na kuvumilia katika suala la engine lakin tandam ni kawaida kuua engine ama kufanya overhaul ikizidi miaka 5 basi una bahati.
[emoji52]mende inajitahidi katika suala la breki wakati wa dharula lakini tandam aisee i kudra za Mungu na kujua hili tafuta ajali nyingi za kujaa nyuma kati ya tandam na mende utaniambia.
[emoji52]Maboresho ya mende hayaathiri kivyovyote utendajikazi wa engine yake kwani ipo disigned kuhandle hiyo mizigo maana mende nyingi unazikuta zikiwa na HP 300 and plus lakin tandam engine ni 200 HP ikiwa designed kuhandle mizigo ama kutoa nguvu ya kati hivyo kuifanyisha kazi ya kuitwisha tani 17 ni kuiteza engine na ndio maana leakage na kufa ni kawaida.
[emoji52]Gharama za maboresh ya kichwa cha scania 4×2 kuwa mende ni karibu sawa na maboresho ya fuso kuw tandam maana Fuso tandam iliyosimama ni kama 80-100M lakini kununua scania 6×2 ama 4×2 P 380 kalii ni mil 70-90 ukiongeza nagharama za maboresho hufika jumla ya 110M kwa mende iliyotayari kwa ajili ya kazi.
Huo ndio ufahamu wangu japo kama kuna wengine wenye ufahamu na data zaidi wanaweza kukuongezea taarifa.
Chief hakika umenifungua macho... maana kuna tender ya ku supply mchele nafukuzia ambayo natakiwa niwe napeleka tonne 20 up to 25.. sasa mawazo yangu yalikuwa kwenye Tandam kununua sasa naanza kubadili idea bora hiyo kipisi cha mende...
 
Chief hakika umenifungua macho... maana kuna tender ya ku supply mchele nafukuzia ambayo natakiwa niwe napeleka tonne 20 up to 25.. sasa mawazo yangu yalikuwa kwenye Tandam kununua sasa naanza kubadili idea bora hiyo kipisi cha mende...
Mungu akufanikishe, Fuso tandam itakunyonya damu hasa ikiwa ndio gari yako ya kwanza kuimiliki aisee.
 
Sijajua kuwa kuwa unaitka iliyofanyiwa marekebisho ya namna gani!
1.
Kuna zile mtu anaagiza kichwa cha lori (tractor unit) kutoka ulaya chenye axle conf ya 6×2 ikiwa na mid lift unaileta bongo kisha unaipeleka kwa fundi wanatoa ile axle ya nyuma wanaziacha zile mbili stable axle na ile iliyokua midlift baada ya hapo wanarefusha chasses na kukufungia nyuma axle mbili za jumla ya tairi 8 ambapo axle moja itakua ndio ina Diff.
2.
Kuna ile unaagiza ulaya kichwa kile chenye 4*2 kisha unakuja kukifanyia mchakato kama wa namba 1 hapo juu hivyo utaongeza jumla ya axles 2 ambapo moja itakua mbele na mbili zitakua nyuma na ukumbuke hizo axle za nyuma zinakua ni single diff yaani 8×2 japo ukitaka mbwembwe au kutokana na nature ya matumizi yako unawsza kutia double diff.
3.
Kununua ulaya kipisi (rigid) cha 4×2 au kile cha 6×2 ama cha 6×4. Ukichukua hicho kipisi cha 4×2 basi utaongezea eaxle moja inayokata kona pale mbele na huku nyuma utaongezea axle ya kawaida moja na kuifanya iwe mende. Kama 6×2 au 6×4 basi utaongezea axle moja tu ya kukata kona pale mbele. Na kwa hivyo vipisi unaweza kuviongezea urefu kama vitakua ni vifupi ili kukidhi mahitaji ya body ya mozigo.
4.
Kununua mende tipa kisha kuja kuvua ile body ya tipa kisha kuijengea body ya mizigo ya kawaida.
GHARAMA.
Hapa gharama zinatofautiana baina ya fundi na fundi ama eneo moja na jingine. Maeneo maarufu yenye wataalamu wa kufanya modifications hizo hapo juu ni Dar, Moshi na Arusha japo Mwanza na Dodoma nao naskia kwa sasa wamepata mafundi wazuri.
Kwa item namba 1 kwa Dar gharama zilikua zinafika hadi 10M kuibadili kichwa cha 6×2 na 4×2 kuwa rigid ya 8×2 na chasis yake pasibo body iliyojengewa na hiyo ilikua mwaka juzi.
Kwa upande wa rigids ambazo unaongezea tu axle moja ya kukata kona yaani item namba 3 hapo juubasi gharama zake hazizidi milion 5.
USHAURI
Kuliko kununua Fuso na kwenda kuifanya tandam aisee ni mara mia uchukue kichwa cha milion 70 ama 80 ukaja kukifanya kiwe kipisi kwa gharama ya juu yake kama M 15 hadi 20 kwa sababu zifuatazo:
😐mende inabeba tani 21(japo kama upiti mzani unaweza kujitwisha hadi tani 25 lakini tandam inabeba tani 17 Maxmum.
😐Mende inadumu na kuvumilia katika suala la engine lakin tandam ni kawaida kuua engine ama kufanya overhaul ikizidi miaka 5 basi una bahati.
😐mende inajitahidi katika suala la breki wakati wa dharula lakini tandam aisee i kudra za Mungu na kujua hili tafuta ajali nyingi za kujaa nyuma kati ya tandam na mende utaniambia.
😐Maboresho ya mende hayaathiri kivyovyote utendajikazi wa engine yake kwani ipo disigned kuhandle hiyo mizigo maana mende nyingi unazikuta zikiwa na HP 300 and plus lakin tandam engine ni 200 HP ikiwa designed kuhandle mizigo ama kutoa nguvu ya kati hivyo kuifanyisha kazi ya kuitwisha tani 17 ni kuiteza engine na ndio maana leakage na kufa ni kawaida.
😐Gharama za maboresh ya kichwa cha scania 4×2 kuwa mende ni karibu sawa na maboresho ya fuso kuw tandam maana Fuso tandam iliyosimama ni kama 80-100M lakini kununua scania 6×2 ama 4×2 P 380 kalii ni mil 70-90 ukiongeza nagharama za maboresho hufika jumla ya 110M kwa mende iliyotayari kwa ajili ya kazi.
Huo ndio ufahamu wangu japo kama kuna wengine wenye ufahamu na data zaidi wanaweza kukuongezea taarifa.
Chukua Scania tractor unit 6x2 ex-UK, tafuta tela used mvue mtu ifanye marekebisho kidogo hapo unaweza pata tela la kupakia hadi tani 32 uanze kufanye kazi. Milioni 100 haifiki na less headache. Au tafuta Scania nzuri 124 hapa bongo iliyotunzwa vizuri umvue mtu. Hapo andaa 30-40 mil. Kuna mdau wangu alimvua muhindi DAF XF 95 530 kwa mil 15. Chuma inatembea sema tu inataka matengezo machache machache ya kawaida. Achana na Fuso.
 
Sijajua kuwa kuwa unaitka iliyofanyiwa marekebisho ya namna gani!
1.
Kuna zile mtu anaagiza kichwa cha lori (tractor unit) kutoka ulaya chenye axle conf ya 6×2 ikiwa na mid lift unaileta bongo kisha unaipeleka kwa fundi wanatoa ile axle ya nyuma wanaziacha zile mbili stable axle na ile iliyokua midlift baada ya hapo wanarefusha chasses na kukufungia nyuma axle mbili za jumla ya tairi 8 ambapo axle moja itakua ndio ina Diff.
2.
Kuna ile unaagiza ulaya kichwa kile chenye 4*2 kisha unakuja kukifanyia mchakato kama wa namba 1 hapo juu hivyo utaongeza jumla ya axles 2 ambapo moja itakua mbele na mbili zitakua nyuma na ukumbuke hizo axle za nyuma zinakua ni single diff yaani 8×2 japo ukitaka mbwembwe au kutokana na nature ya matumizi yako unawsza kutia double diff.
3.
Kununua ulaya kipisi (rigid) cha 4×2 au kile cha 6×2 ama cha 6×4. Ukichukua hicho kipisi cha 4×2 basi utaongezea eaxle moja inayokata kona pale mbele na huku nyuma utaongezea axle ya kawaida moja na kuifanya iwe mende. Kama 6×2 au 6×4 basi utaongezea axle moja tu ya kukata kona pale mbele. Na kwa hivyo vipisi unaweza kuviongezea urefu kama vitakua ni vifupi ili kukidhi mahitaji ya body ya mozigo.
4.
Kununua mende tipa kisha kuja kuvua ile body ya tipa kisha kuijengea body ya mizigo ya kawaida.
GHARAMA.
Hapa gharama zinatofautiana baina ya fundi na fundi ama eneo moja na jingine. Maeneo maarufu yenye wataalamu wa kufanya modifications hizo hapo juu ni Dar, Moshi na Arusha japo Mwanza na Dodoma nao naskia kwa sasa wamepata mafundi wazuri.
Kwa item namba 1 kwa Dar gharama zilikua zinafika hadi 10M kuibadili kichwa cha 6×2 na 4×2 kuwa rigid ya 8×2 na chasis yake pasibo body iliyojengewa na hiyo ilikua mwaka juzi.
Kwa upande wa rigids ambazo unaongezea tu axle moja ya kukata kona yaani item namba 3 hapo juubasi gharama zake hazizidi milion 5.
USHAURI
Kuliko kununua Fuso na kwenda kuifanya tandam aisee ni mara mia uchukue kichwa cha milion 70 ama 80 ukaja kukifanya kiwe kipisi kwa gharama ya juu yake kama M 15 hadi 20 kwa sababu zifuatazo:
😐mende inabeba tani 21(japo kama upiti mzani unaweza kujitwisha hadi tani 25 lakini tandam inabeba tani 17 Maxmum.
😐Mende inadumu na kuvumilia katika suala la engine lakin tandam ni kawaida kuua engine ama kufanya overhaul ikizidi miaka 5 basi una bahati.
😐mende inajitahidi katika suala la breki wakati wa dharula lakini tandam aisee i kudra za Mungu na kujua hili tafuta ajali nyingi za kujaa nyuma kati ya tandam na mende utaniambia.
😐Maboresho ya mende hayaathiri kivyovyote utendajikazi wa engine yake kwani ipo disigned kuhandle hiyo mizigo maana mende nyingi unazikuta zikiwa na HP 300 and plus lakin tandam engine ni 200 HP ikiwa designed kuhandle mizigo ama kutoa nguvu ya kati hivyo kuifanyisha kazi ya kuitwisha tani 17 ni kuiteza engine na ndio maana leakage na kufa ni kawaida.
😐Gharama za maboresh ya kichwa cha scania 4×2 kuwa mende ni karibu sawa na maboresho ya fuso kuw tandam maana Fuso tandam iliyosimama ni kama 80-100M lakini kununua scania 6×2 ama 4×2 P 380 kalii ni mil 70-90 ukiongeza nagharama za maboresho hufika jumla ya 110M kwa mende iliyotayari kwa ajili ya kazi.
Huo ndio ufahamu wangu japo kama kuna wengine wenye ufahamu na data zaidi wanaweza kukuongezea taarifa.
Fuso wazee wa maspeed ila kupinduka kifo cha mende dakika sifuri, hazina stamina
 
Chief hakika umenifungua macho... maana kuna tender ya ku supply mchele nafukuzia ambayo natakiwa niwe napeleka tonne 20 up to 25.. sasa mawazo yangu yalikuwa kwenye Tandam kununua sasa naanza kubadili idea bora hiyo kipisi cha mende...
Chukua tractor unit chief.
 
15 is thé latest of the version, umeme mwingi na turbo pia, 16 kadhalika , in turbo , cabin ndo na speed Kama zote . Super powerful, 17 ni chombo ya zaman, nyingi ni kavu, cabin pana, mdogo mdogo lakin zinaishi sana

For comparison 17 ni Kama 113, 16 ni Kama R na 15 ni Kama XT
Mkuu inamaana 16 ndio powerful kuliko 15 na 17?
 
Wakuu kwa atakayehitaji Fuso za mizigo bei nafuu lakini zilizo katika hali nzuri na ana bajeti ya kuanzia 30M anishtue.
Whatsapp PEKEE 0755963775 #Tanga
 
Back
Top Bottom