Nahitaji gari aina ya Premio kwa mil 8

CHIBA One

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2018
Posts
558
Reaction score
2,093
Wakuu, Nimejibana bana hapa kwa usawa huu, Nimetunza akiba ya mill 8 kwa ajili ya ka usafiri....na Nimevutiwa sana na premio new model

Kwanza nishaurini kuhusu ubora wa hii gari, stability yake, spare, ulaji wa mafuta pia... na je nnaweza kupata kwa bei hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa pesa hiyo utapata ya mkononi. Ni gari nzuri kwa matumizi ya kawaida . Kila la kheli mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama unaweza kupata kwa milioni 8 hayo magari yanauzwa bei kubwa kuanzia milioni 16-18
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…