Hahah all the best mkuu.Ha ha ha ha ha ha ha ha!!!..
Mkuu mng'ato kuna siku hio nayo itahitajika nitamtafuta Mkuu!!!..
LOL,
πππ..
Unadharau vya wenzio.Mkuu Maringeni.
Maishani kwepa sana ku-judge watu, "it will save you a day if not a face one day"!!!..
USHAURI WA BURE TU MKUU!!!..
Shukrani.
ππ!!!..
Shukrani sana mkuu,Mungu akupe hitaji la moyo wako.Tuko pamoja Mkuu!!!..
Nikutakie yote yaliyo kheir kuelekea mwisho wa mwaka Mkuu!!!..
Shukrani,
ππ!!!..
Yani kwa mbwembwe ulizokuja nazo humu nikajua walau una hata million 40 tu ya kulia lia. We unataka hardtop kwa million 5 labda iwe Land Cruiser ya plastic toy kama yale ya watoto kuchezea. Hio hela hata Engine pekeyake huuziwi
Sawa mkuu nasubiri mrejesho kabla ya mwaka kuishaMkuu Extrovert!!!..
Salaam.
Mie hupenda sana kuuachia muda ndio useme Mkuu.
Natambua kuna Landcruiser za Millioni 180, 100, 50, 10, 5, n.k inategemeana tu factors kadhaa kama hali ya chombo chenyewe (kipya, kimetumika, kimetumika sana n.k) pia muda (kwa maana ya opportunity cost, exchange value n.k).
Hebu tuuachie muda ndio useme kama hili linawezekana au haliwezekani, mie ninachokuahidi tu ni kuwa nitatuma picha hapa kwa faida yetu sote kama watumiaji wa Jamii Forums ndani ya "UTANDAWAZI NA NGUVU YA MAWASILIANO" Mkuu.
Nikutakie kila lililo la kheir kuelekea mwisho wa mwaka na uingiapo 2019
Shukrani Mkuu,
ππ!!!...
Nadhani ni Ushimen ndio mwenye hiyo gari, ajaribu kumcheki PM kwa mipango zaidi.Eti 5mil?
Kuna msela humu jf hua ana gari kwa nyuma imeningia vi-pumbu viwili anaweza akauuzia kwa hio bei boss.
Unadharau vya wenzio.