Nahitaji girl friend

Nahitaji girl friend

asubuhi sana

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2015
Posts
1,667
Reaction score
1,411
Mambo,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21, Niko kanda ya kati, nahitaji girl friend wa kuchati, kuwasiliana,ushauri wowote kuhusu maisha, kama upo tayari utani PM.

NB: Ukiongea na mwanamke mwenye hisia za kimapenzi, zaidi ya dk5, inafanya ubongo wa mwanaume kuwa bora zaidi.


Asanteni karibuni sana

Mr. Asubuhi
 
Umesikika kijana subiria pm za wadada ila ujiandae na ela za vocha
Vipi lakini ausomi ww?
 
Asanteni kwa ushauri wenu na ushirikiano wenu, mwajifyaa inno
 
Back
Top Bottom