asubuhi sana
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 1,667
- 1,411
Mambo,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21, Niko kanda ya kati, nahitaji girl friend wa kuchati, kuwasiliana,ushauri wowote kuhusu maisha, kama upo tayari utani PM.
NB: Ukiongea na mwanamke mwenye hisia za kimapenzi, zaidi ya dk5, inafanya ubongo wa mwanaume kuwa bora zaidi.
Asanteni karibuni sana
Mr. Asubuhi
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21, Niko kanda ya kati, nahitaji girl friend wa kuchati, kuwasiliana,ushauri wowote kuhusu maisha, kama upo tayari utani PM.
NB: Ukiongea na mwanamke mwenye hisia za kimapenzi, zaidi ya dk5, inafanya ubongo wa mwanaume kuwa bora zaidi.
Asanteni karibuni sana
Mr. Asubuhi