Nahitaji girlfriend (17-24)

Acha uongo sisi hatuli ubongo wa mtu
 
[emoji19] baadae nitarudi

Uniunge kwa lile group la tele[emoji23]
😭 Huu ugomvi hauwezi kuisha kwa kweli basi nimenyoosha mikono πŸ™Œ bendera nusu mlingoti πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na mask navaa kabisa 😷
 
Uko chuo huna mtu unayemuelewa au kutamani kuwa nae, hata mtaani kwenu. Mi niko zangu hapa sina mpenzi wala nini, sema kuna Singida moja imeniteka sijui kama nachomoa.

Niko bize na vitu vingi, nikipata mpenzi hatoweza kuwa na attention yangu na akiwa nayo basi atatumia muda wangu kitu nisichopenda. Mi natamani niwe nae nikiwa katika muda wa shida au raha, sio muda neutral ambao ndo mara nyingi nakuwa nao.
 
Hahaha,,dah saw mkuu,,nmekupata furesh asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…