Nahitaji girlfriend (17-24)

Nahitaji girlfriend (17-24)

Tuna 25 ila hatujawahi kuhusiana..and we live Confortably..
Nilipokua nina umri huo niliwekeza muda mwingi kusoma Falsafa na Saikolojia..Ilipofika 21 mwaka wote nikatumia kusoma habar za Mungu na Imani zake..
Now naweza kusema I'm ready kuingia huko maana niliyotaka kuyaweka kichwani nimetimiza.
Soma kwanza ufike malengo ya kukinoa kichwa then uingie kwenye uhusiano
Mbali na pesa ke wanapenda kichwa kilichojaa madini, Ndicho pekee nilichonacho maishani
Acha uongo sisi hatuli ubongo wa mtu
 
[emoji19] baadae nitarudi

Uniunge kwa lile group la tele[emoji23]
😭 Huu ugomvi hauwezi kuisha kwa kweli basi nimenyoosha mikono 🙌 bendera nusu mlingoti 😂😂😂😂 na mask navaa kabisa 😷
 
Uko chuo huna mtu unayemuelewa au kutamani kuwa nae, hata mtaani kwenu. Mi niko zangu hapa sina mpenzi wala nini, sema kuna Singida moja imeniteka sijui kama nachomoa.

Niko bize na vitu vingi, nikipata mpenzi hatoweza kuwa na attention yangu na akiwa nayo basi atatumia muda wangu kitu nisichopenda. Mi natamani niwe nae nikiwa katika muda wa shida au raha, sio muda neutral ambao ndo mara nyingi nakuwa nao.
 
Uko chuo huna mtu unayemuelewa au kutamani kuwa nae, hata mtaani kwenu. Mi niko zangu hapa sina mpenzi wala nini, sema kuna Singida moja imeniteka sijui kama nachomoa.

Niko bize na vitu vingi, nikipata mpenzi hatoweza kuwa na attention yangu na akiwa nayo basi atatumia muda wangu kitu nisichopenda. Mi natamani niwe nae nikiwa katika muda wa shida au raha, sio muda neutral ambao ndo mara nyingi nakuwa nao.
Hahaha,,dah saw mkuu,,nmekupata furesh asee
 
Back
Top Bottom