Wengine hatujui kuja pmSifa.
awe mrefu wa wastani.
rangi yoyote.
umri awe chini ya 30yrs.
asiwe mwembamba sana, awe na mwili wa kawaida tuu.
awe dar mana ndipo nilipo.
sifa zangu.
urefu wa 178cm.
rangi maji ya kunde.
nina mwili kidogo.
nina 29yrs.
nina elimu ya digrii.
nina kazi yenye mshahara wa kunitosha ya serikalini.
naishi dar.
karibu kwa yeyote mwenye sifa.
Af wewe na kutafuta unanikaushia au kwavile nimeishiwa manoti😂😂Kila la kheri ....
Af wewe na kutafuta unanikaushia au kwavile nimeishiwa manoti[emoji23][emoji23]
ahsante!
unaweza ukafaa pia.
Ngoja ni bet nipate manoti, utanikoma mbona hahaha[emoji3][emoji3][emoji3] tafuta pesa kwanza
Ngoja ni bet nipate manoti, utanikoma mbona hahaha
😂😂Itabidi wewe unikumbuke kwanza saiz ili nikizipata tu nije kwako[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ukipata unikumbuke
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] getini kwetu kuna mbwa mkaliii[emoji23][emoji23]Itabidi wewe unikumbuke kwanza saiz ili nikizipata tu nije kwako
Bas itakuwa hutaki manoti.....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] getini kwetu kuna mbwa mkaliii
Manoti nayataka haswa....Bas itakuwa hutaki manoti.....
Kama unayataka manoti huyo mbwa hatakiwi kuwepo hapo getini kwenu.....😂😂Manoti nayataka haswa....
kipi kimekunyima sifa??