Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Nikajua wale wateja wako wa mihogo na maandazi pale tanesco wanachagua vifungashio😅NAHITAJi kwa matumizi yangu mwenyewe 🤒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikajua wale wateja wako wa mihogo na maandazi pale tanesco wanachagua vifungashio😅NAHITAJi kwa matumizi yangu mwenyewe 🤒
Kama unavyo Kaka, sema tuongee kwa lugha ya majobless tafadhali 🤒Mi niiteni kwel dili za pesa 😄vitabu ntapeleka/ntavitoa wapi mm? Au skia ana sh ngp tufanye mambo
Una sh ngp niingie chimbo!Oyaa Mpaji Mungu Kuna Jambo hapa🤒🤒
Anazingua ila msaidie mpe maelekezo atavipataje ajui kama watu tuna dili hadi na maktabaMi niiteni kwel dili za pesa 😄vitabu ntapeleka/ntavitoa wapi mm? Au skia ana sh ngp tufanye mambo
Oyaa Mpaji Mungu uki sikia dharau ndo hizi aisee😃😂.Nikajua wale wateja wako wa mihogo na maandazi pale tanesco wanachagua vifungashio😅
Nijuze mkuu, tuone najikuna kwa upana upi.Una sh ngp niingie chimbo!
Nikutumie Kuna cargo nyingi za kuja huko mwanza eq Fulano transporter & semina transporter
😁 au wafungie na softcopyOyaa Mpaji Mungu uki sikia dharau ndo hizi aisee😃😂.
👉Wauza vitumbua na mihogo hatuthaminiki😂🤣
Apande dau kariaakoo pana kila kitu hadi Moyo mbichi unafanya Kazi kbsAnazingua ila msaidie mpe maelekezo atavipataje ajui kama watu tuna dili hadi na maktaba
Dah hizi dharau aisee😂😃🤣, we boya siku niki kushika nita kupasua sura arifu😃😂🤒Izo hard copy zann mkuu kama softcopy unazo, au kuna wateja wanahitaji uwafungie kwenye vitabu hvyo
😂 akishindwa ni yeye uwe makini yasijekuwa mazoeziApande dau kariaakoo pana kila kitu hadi Moyo mbichi unafanya Kazi kbs
Dah we mbwa acha kutu okota😂😃🤣, Moto gani huo😃Apande dau kariaakoo pana kila kitu hadi Moyo mbichi unafanya Kazi kbs
Kaka Hamna kitabu getoni kwangu pamejaaa delivery note kama 10000 hvKama unavyo Kaka, sema tuongee kwa lugha ya majobless tafadhali 🤒
Mazoezi gani Tena🤔😂 akishindwa ni yeye uwe makini yasijekuwa mazoezi
😂 ngoja tukupambanie upateDah hizi dharau aisee😂😃🤣, we boya siku niki kushika nita kupasua sura arifu😃😂🤒
Siku uki jaa, nta kukata vidole 🤒😁 au wafungie na softcopy
Tuma helaMazoezi gani Tena🤔
Kaka una maanisha chumba kime jaa elfu 10 tu 🤔😃🤣Kaka Hamna kitabu getoni kwangu pamejaaa delivery note kama 10000 hv
Hardcopy huwa zina raha yake kwakweli.Shukrani bro, soft copy ninazo.
👉Ila napenda tu hard copy aisee.
😂 maneno ya nyuma ya keyboard hayo tumalizane na hili la vitabu kwanzaSiku uki jaa, nta kukata vidole 🤒
Delivery note unazijua?Kaka una maanisha chumba kime jaa elfu 10 tu 🤔😃🤣