hahahhhaaaaaa hahah dah funza umenchekesha mpz acha......do u thk m BHOKE?
mmh apana swahiba mi kitu kingne kutoka pande nyngine kabisa TAFAUTI na kwa chacha mwita kakhkaaa....!!!!
ok basi tufanye iv...niamba kulila likolo la nanyungu...!!!!!!!we mwana upilik?
aya sasa cheza na iyo....
hapana,mimi mzuka wangu ni mapenzi ya dhati,hata awe na kibamia,naridhika tu.Mwili unasisimka wenyewe tu,bila kujali maumbile aliyokuwa nayo. Ile uwe mrefu,basi inatosha. Kwani mimi ni mrefu. mengine sijalije, wewe kisukari ukiwa unachezea hayo manyoya unapata mzuka???
hapana mimi mzuka wangu ni mapenzi ya dhati,hata awe na kibamia naridhika tu.Mwili unanisisimka wenyewe,bila ya kujali maumbile aliyokuwa nayo mtu.ila uwe mrefu,basi inatosha,kwani na mimi ni mrefu.
mashallahhhh!sasa unasubiri nini, njoo kwangu kisukari upate huo msisimko!urefu ndo upo hapa!
sasa kisukari unataka kumkosesha target mwenziowatu wa jf hawaaminiki hata kidogo.
watu wa jf hawaaminiki hata kidogo.
Ndio maana yake,sitaki na mimi baadae kutolewa mfano humu,oooh kisukari hamna kitu,ni mchungu ajabu,akaaaa siyawezi mie. Au pengine una mke wako,ndio yale yale,shetani kanipitia,mke wangu mzuri kuliko kisukariyaani ndo kusema umenipiga chini kisukari wangu??
Mwanamke wangu hupenda manyoya ya kifuani na tumboni, ilhali mimi sina....! Nifanyeje?
mnoge yuve?hahahhhaaaaaa hahah dah funza umenchekesha mpz acha......do u thk m BHOKE?
mmh apana swahiba mi kitu kingne kutoka pande nyngine kabisa TAFAUTI na kwa chacha mwita kakhkaaa....!!!!
ok basi tufanye iv...niamba kulila likolo la nanyungu...!!!!!!!we mwana upilik?
aya sasa cheza na iyo....
Sikia yapo manyonya ya kuotesha kuna paka wengi wanazurula mitaani kamata kama watatu hivi wanyofoe manyoya yao chukua superglue na uyabandike mwilini.
..Ndio wale waleee....akiwa sio mrefu je?? na mwenzio anataka manyoya wakati anajua wazi jamaa yake hana hayo manyoya nyie beijing hamueleweki kabisaaaaa!!:hand:hapana mimi mzuka wangu ni mapenzi ya dhati,hata awe na kibamia naridhika tu.Mwili unanisisimka wenyewe,bila ya kujali maumbile aliyokuwa nayo mtu.ila uwe mrefu,basi inatosha,kwani na mimi ni mrefu.
Mwanamke wangu hupenda manyoya ya kifuani na tumboni, ilhali mimi sina....! Nifanyeje?
mmmh ukiona hivyo ujue keshapata mtu mwenye manyoa au bwana wa kipemba nenda surrender bridge pale kuna jini manyoa litakupa bure mpaka ya kwenye ulimi
Kumbe eh!pole kaka Konakali, ukae ukijua unamegewa na mwanamume mwenye manyoya,
mimi uwa inaniuma sana kama mko kwenye mahusiano kwa muda mrefu, mara mtu anakwambia kitu ambcho muda wote alikiona cha kawaida na anajua kabisa kuwa hakuna uwezo wa kujirekebisha,