Nahitaji huu uzi nimpate mtu anaemiliki kuanzia 500m kuna experience nahitaji kushare nae!

Una mchongo dogo??

Sisi mawinga ndo wakukufikisha kwa boss, maboss wengi sio wasomi so huwa hawapo jf, wao ni tiktok, insta na fb. Hupenda tuvideo twa vichekesho na sio hii mielezo yako hapa.
Naogopa burn ila ningekutusi kuwa wewe ni fala, kuniita dogo afu sina I dear nina cash ko mahitaj mtu mwenye uzoefu zaidi kibiashara na nimekuwa pia katika biashara miaka kadhaa. Hadi kuaminiwa kukopesheka kwa 500m mimi sio mama yako niko vzuri so nahitaji investment kubwa, usidhan kila anaekuja hapa ana Idea na ana njaa, ndio maana nikasema atakaejskia ko kama ww ni chawa wa boss sina shida na chawa maana mi pia ninao watu wanaonizunguka so endelea kuwa chawa mkuu mimi pesa ninayo hata kama sinawahi kuishika kwa pamoja ila asset zangu zimeniwezesha kupata 500m so tulia babu sihitaji masaada hapa kama unavyodhania,

Maana ningesema nina 500m nahitaj watu wenye uzoefu zaid tuwekeze najua mawinga mngeleta vimbelembele hapa
 
mwanangu unataka mtu mwenye 500+ na aje PM. unajua hulka za maboss wabongo wewe?
Kama una idea yako siku hizi tunasema utatafutwa, wewe ulitakiwa uweke idea yako, wabongo hatuna copyright za idea mpk ulete mbwmbwe nyiingi humu.
Afu sio kama nabembeleza mkuu kiivo nasema anaejskia atakuja coz nahitaj mtu siriaz aje tukae chini anithibitishie na nione investment zake tufanye kazi, kindugu kama busness pertner maana katika maisha mara nyingi ushirikiano ni kitu mhimu ko sijakurupuka na ww ukija kama hauna hiyo pesa nitakugundua nahitaj mtu alie siriaz na hata kama hatutashirikiana naamini kina exposure nitapata kwake kwa investment zangu ko iam not fool
 
Unaona sasa jinsi reply yangu ilivyosaidia mpaka ukafunguka yooote mpaka pesa na assets unazomiliki.

Infact mimi sio chawa mkuu.

Bila shaka baada ya hii comment yako murua huko pm kumejaa sasa.
 
Mzee hii ni Africa so kwa wenye hela wanajua madhara ya kuwajulisha watu Cash flow yako. So we sema unataka msaada wa mawazo gan mwenye kujua akusaidie. Kingine unatakiwa kujua kuna wenye mawazo mazuri lakin hawana hizo hela na wapo wenye hizo hela na hawana mawazo mazuri pia. Kumbuka tajiri wa zamani hana wazo jipya la leo.
 
@antimatter we unaona 500+ ni ukwasi ?????? Kazi tunayo wabongo.
 
Hiyo ni pesa ya Lori moja na trela....au basi moja ya kichina na chenji inabaki..au daladala kubwa 3 inabaki 50..au duka moja la jumla..uswahilini na haibaki chenji....
Karibu wewe........hiyo no 199,455 usd $$$
 
Unaona sasa jinsi reply yangu ilivyosaidia mpaka ukafunguka yooote mpaka pesa na assets unazomiliki.

Infact mimi sio chawa mkuu.

Bila shaka baada ya hii comment yako murua huko pm kumejaa sasa.
Ukiandika una cash 500m kila mtu atataka kushauri, alafu Idea man ni wengi ambao ni zero kwa utekerezaji ndio maana nilihitaji mtu ambae yupo kwa biashara na ana uzoefu kuna vitu nilihitaji kupata exposure kwake. Ila sio nahitaji msaada wa mtu hapa ndio maana nikasema atakae volunteer
 
Siji inbox wala wapi, kupata fedha za namna hii siri yake kubwa ni kufanya biashara zenye turn over kubwa mfano malori, Anza na moja, ongeza lapili la Tatu and then la nne, refine au uza ya zamani weka mapya, then step pesa katika hard asset majengo, ya kibiashara, remember katika kiwango hicho cha fedha turn it hasa majengo ndiyo yanayotunza fedha once you had start play higher void playin low.
Nilianza na scania hose!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…