Nahitaji huu uzi nimpate mtu anaemiliki kuanzia 500m kuna experience nahitaji kushare nae!

Nahitaji huu uzi nimpate mtu anaemiliki kuanzia 500m kuna experience nahitaji kushare nae!

Huyu ana sereous illnesse...anataka sifa.

Unafikiri ajui?

Unafikiri ajui kama Jamii Forum 80% wana pretend maisha humu?

Ila mtoa uzi anataka sifa za kijinga.

Full idiot
Inshort sikulaumu mkuu najua tatzo la wabongo ni kuwa wanafurahia post za mateso shida, na matatizo ila mtu akipost chochote wanachohisi kipo tofauti na wao basi huo ndio mwanzo wa vita yao na kutaka kum underate, mimi sijasema nahitaji mwenye pesa tushindane utajiri, wala sijassema nahitaji kushow off ndio maana post yangu imekaa kicode sijaweka kila kitu wazi sasa kinachokufanya unitukane ninini?

Unaamini watu wote wanaotumia JF ni wazee wa kuanzima bundle la buku jero, suala la watu na mitandao ni hulka wala sio kupato, mbona mama yako na baba yako hawana pesa na mitandaoni hawatumii? Au unataka kusema kuwa na wao ni matajiri? Mbona kuna matajiri kibao akina Elon musk, Donald Trumph, etc Bado mitandaon wanapata mda wa kutweet na kulike post za watu?

Bro sijaja hapa kutoana heshima na mtu wala nikisema sina 500m au ninayo wewe katika maisha yako hakuna kitakachopungua wala kuongezeka, suala la kutukana watu unaohisi wanakuzidi kipato kwa kuwaona wanajipritend wewe haikuongezei chochote wala kukupunguzia chochote boss, pia sio kila anaemiliki pesa kazitafta kama wewe unavyohangaika kuzitafta bro,

Kuna watu wamezaliwa wamekuta pesa na wamekuta asset za kuwawezesha kupata pesa mda wowote, ko usitake kufanya historia ya maisha yako kuwa ya watu wengine, pia usijifanye unajua watu kuliko watu wenyewe wanavyojijua,

Unadhani hii tabia ya makasiriko na uswahili ulionayo hata ukipata pesa itabadilika?? Bado utashinda tu mitandaoni kutukana maana tabia ni ngozi ko usiaminishe watu kuwa ila commenter au anaepost Jf ni maskini kama familia yako,

Mimi post yangu nimeomba kukutana nao wwe unatukana kama hiyo pesa unayo ungekuja ukaniskiliza nini nahitaji au kama hauna ungenyamaza sio kunitukana, afu hii dhana ya watu kusema unafake maisha ni msemo wawatu waliojikatia tamaa wanaoamini shida ni fungu lao, ndio maana hata mtu akijitahidi wataona anaigiza maana walishakula yamini ya mateso ya milele ndio maana wakiona mtu anajivunia mafanikio huamini anaigiza maisha kutokana na mindset zao kuamini wameumbiwa kuteseka na sio kufurahia.

Kwa msaada tu. Nakupa mfano, baba yako angekuwa na asset za maana au familia yako hata kama wewe hauna pesa ipo siku ungepata mgao wa mali za familia yako na ukapata pesa nzuri na hata ukatafta washauri wakukushauri namna ya kuendeleza mali zako, nimetoa mfano tu.

Ko acha majungu mateso yako na shida zako haziwez kuisha kwa kuamini mpo wengi wenye shida ila zitaisha siku ukisimama wewe kama ww na kuamini shida unazopeke yako hapo ndipo utakapopambania unafuu wa maisha, ila ukiishi kwa kuamini mpo wengi mnaoteseka utakufa ukiteseka mkuu.
 
Mfanyabishara wa M500 humu huwezi kumkuta yupo busy na kumaintain biashara zake,,humu wapi kuanzia 200 kushuka chini,waajiriwa na jobless
Sawa mkuu. Ninajua unachomaanisha hii ni psychological problem ya watanzania wengi, so sitakijibu endelea kuamini hivo itakusaidia sana
 
If at all you are serious.

Nenda kwenye mikutano ya wafanyabiashara. Nenda kwenye Chambers of Commerce za sehemu mbalimbali kama Dar es salaam Chamber of Commerce. Tafuta access na watu wa CEO Roundtable, mikutano ya TIC na mikutano kama hiyo ya wafanyabiashara na wawekezaji.

Lakini pia, inawezekana unafanya logical fallacy ya proximity ya ku assume kuwa mtu mwenye hela na aliyefanya uwekezaji ndiye anaelewa zaidi hayo mambo.

Mimi nimefanya kazi na professional financial advisors ambao wengine (hususan waliokuwa wanaanza)hawakuwa na hela kubwa sana, ila walijua wapi pa kuweka hela na waliwashauri matajiri wakubwa jinsi ya kuwekeza kwenye markets.

Speaking of that, inawezekana ukahitaji msaada wa professional financial advisor akushauri jinsi ya kuwekeza, umlipe kabisa. Sijui uko wapi na kama bongo wapo, ila, kama unataka kwenda na falsafa yako wa kupata ushauri wa watu wenye uzoefu inawezekana ukahitaji kutumia pesa ili kupata pesa na kuwalipa professional financial advisors wenye uzoefu.

Mnaandikiana mikataba ya kisheria kabisa inayopitiwa na wanasheria wako, anakupa ushauri wapi pa kuwekeza, uwekeze vipi, upunguze vipi kodi kisheria, uongeze vipi faida, etc.

Pengine kupata ushauri wa mtu tu bila mikataba hivyo - mwenye uzoefu au asiye na uziefu- unaweza kualika kutapeliwa.

Cc Waterbender
Shkran mkuu ila nipo mkoani na hiz exposure sio kila mtu anazo
 
Kweli jamaa kakosea namna ya kueleza ila humu kuna watu mnajua kuvimba sana eti mtu anakuambia 500m ni hela ya kawaida sana ila ukimuuliza kwa mwaka anaingiza kiasi gani hajui sasa wakuu kuvimba huku jf sio mpango maana penye ukweli tuweke ukweli wengi wetu humu tuliocomment kejeli hatuna hela wala mipango ya hela na pia nina mashaka na mleta mada huenda nae anajikosha tu. Tumpe muda mtaona anayoandika mtamjua tu
 
Kweli jamaa kakosea namna ya kueleza ila humu kuna watu mnajua kuvimba sana eti mtu anakuambia 500m ni hela ya kawaida sana ila ukimuuliza kwa mwaka anaingiza kiasi gani hajui sasa wakuu kuvimba huku jf sio mpango maana penye ukweli tuweke ukweli wengi wetu humu tuliocomment kejeli hatuna hela wala mipango ya hela na pia nina mashaka na mleta mada huenda nae anajikosha tu. Tumpe muda mtaona anayoandika mtamjua tu
Mkuu ukisoma uzi wangu hakuna sehem nimeandika ninayo hiyo pesa au sina ko haya ya kusema ninayo au sina mnayaleta nyie, alafu kingine sion haja ya mjadala ikiwa mimi mwenyepost sijasema niko na pesa au sina.

So hapa naona mnajitekenya na kucheka wenyewe
Na hata ukipitabkatika post zangu hakuna kitu ambacho utakijua

Zaidi na zaidi naona watu mnaleta makasiriko kisa 500m imetajwa Jf kwann wabongo mnataleta complications kwa vitu ambavyo hamna faida navyo? Kama hiyo pesa mtu anayo wewe haikupunguzii kitu na kama mtu hana vilevile haikupunguzii kitu ko suala la kuleta shida na makasiriko havina maana,

Mimi nimeandika nahitaji kupata exposure nyie tayari mmeshajtungia sentes duh.
 
Mkuu ukisoma uzi wangu hakuna sehem nimeandika ninayo hiyo pesa au sina ko haya ya kusema ninayo au sina mnayaleta nyie, alafu kingine sion haja ya mjadala ikiwa mimi mwenyepost sijasema niko na pesa au sina.

So hapa naona mnajitekenya na kucheka wenyewe
Na hata ukipitabkatika post zangu hakuna kitu ambacho utakijua
Sinaga muda wa kifuatilia mtu humu na nimesema nina mashaka kwahyo huenda mashaka yangu ni kweli au si kweli....
 
Mkuu ukisoma uzi wangu hakuna sehem nimeandika ninayo hiyo pesa au sina ko haya ya kusema ninayo au sina mnayaleta nyie, alafu kingine sion haja ya mjadala ikiwa mimi mwenyepost sijasema niko na pesa au sina.

So hapa naona mnajitekenya na kucheka wenyewe
Na hata ukipitabkatika post zangu hakuna kitu ambacho utakijua

Zaidi na zaidi naona watu mnaleta makasiriko kisa 500m imetajwa Jf kwann wabongo mnataleta complications kwa vitu ambavyo hamna faida navyo? Kama hiyo pesa mtu anayo wewe haikupunguzii kitu na kama mtu hana vilevile haikupunguzii kitu ko suala la kuleta shida na makasiriko havina maana,

Mimi nimeandika nahitaji kupata exposure nyie tayari mmeshajtungia sentes duh.
Hapa JF kuna matatizo kadhaa yanayojirudia karibu kila siku kwa watu wengi, matatizo haya yanaonesha udhaifu wa elimu Tanzania.

1. Watu kushindwa kufikiri kidhahania (abstract thinking). Mada inaweza kuwa na maana sana in the abstract, wao wanaondoka kwenye abstract topic wanakuja kwenye actual.

2. Watu kuacha kujadili mada ya msingi na kujadili mfano uliotolewa katika mada. Umetoa namba ya Sh 500m. Watu wameshindwa kuichukulia namba hiyo kama mfano na kufanya abstract exercise ya biashara kubwa kwenye hiyo range/tax bracket. Wameifanya hiyo namba kuwa ndiyo topic.

3. Watu kufanya logical fallacies, mfano, kuacha kujadili mada, na kumjadili mtoa mada (ad hominem attack). Wameshindwa hata kushauri kwa caveat "if at all this is legit...". Tanzania tunaenda na "guilty until proven innocent" instead of "innocent until proven guilty".

Nilimueleza mtu hapo juu kwamba kama unayo hiyo hela au huna si kitu muhimu, kitu muhimu ni hoja uliyoianzisha kuwa, ukiwa na hiyo pesa unaweza vipi kupata ushauri kuhusu jinsi ya kuiwekeza?
 
Hapa JF kuna matatizo kadhaa yanayojirudia karibu kila siku kwa watu wengi, matatizo haya yanaonesha udhaifu wa elimu Tanzania.

1. Watu kushindwa kufikiri kidhahania (abstract thinking). Mada inaweza kuwa na maana sana in the abstract, wao wanaondoka kwenye abstract topic wanakuja kwenye actual.

2. Watu kuacha kujadili mada ya msingi na kujadili mfano uliotolewa katika mada. Umetoa namba ya Sh 500m. Watu wameshindwa kuichukulia namba hiyo kama mfano na kufanya abstract exercise ya biashara kubwa kwenye hiyo range/tax bracket. Wameifanya hiyo namba kuwa ndiyo topic.

3. Watu kufanya logical fallacies, mfano, kuacha kujadili mada, na kumjadili mtoa mada (ad hominem attack). Wameshindwa hata kushauri kwa caveat "if at all this is legit...". Tanzania tunaenda na "guilty until proven innocent" instead of "innocent until proven guilty".

Nilimueleza mtu hapo juu kwamba kama unayo hiyo hela au huna si kitu muhimu, kitu muhimu ni hoja uliyoianzisha kuwa, ukiwa na hiyo pesa unaweza vipi kupata ushauri kuhusu jinsi ya kuiwekeza?
Tatzo la wabongo, Wanasema watu wenye pesa hawapo JF na hawatumii social networks,

Hii ni tabia ya maskin wote huwa tunatabia ya kuamini kuwa tukiwa katika kund hata kama hatujuani tunaamini wote tuko sawa, hii kitu watu wazembe kifkra na kiutaftaji huitumia kama njia pekee ya kuwapa matumaini ya kuamini kuwa wote tunafanana na wote tuna shida moja so ikitokea mtu akajitambulisha kuwa sio mwenzao hapo ndioo vita, ugomvi, na chuki huanzia,

Suala la mtu kuwa sio mfuasi wa mitandao ya kijamii ni hulka ya mtu wala sio pesa, ninao watu maarufu wengi na matajiri wengi ninaojua wapo mitandaoni na tunabishana nao humu maana tajiri ni binadam mwenye hisia na hulka za kibinadam pia,

Kuna watu hawana pesa na hawana mda na mitandao suala hili lipo kihulka tu wala sio kifedha.

Vijana wajinga huamini Milionaire na Bilionaires hawapati mda wa kutumia mitandao ya kijamii wapo bize kutafta pesa mda wote wchich is standard Idiot, kama bodaboda ambae mda wote yupo road lakin bado anapata mda wa kupita mitandaoni, mama muuza genge nae anapata mda wa kuingia mtandaoni, mangi muuza duka nae anapata mda wa kuingia mtandaoni, ni ubize gani huo ambao bilionaire anao ambao hapati mda wa kuingia mtandaoni???

Hakuna tajiri aliebize kama maskini walivyobize tajiri yeyote pesa ina run kwenye mifumo wala sio kutumia pysical excise kupata pesa, matajiri wengi wanashinda mitandaoni kusoma coment na kupost content labda matajiri wasiofanya hivyo ni wale matajiri wa vijijini wafugaji na wazee wa mikoani, ila most highlighted people wanamiliki account fake zaid ya 10 na wanakuwa active nazo issue siriaz wanaziona na mizaha pia wanaiona na kuchangia,

Nina refference kuna staa mmoja ni mkubwa sana tz hapa na ni ndugu yangu ninajua anamiliki account fake anazotumia kusocialize na watu ila linapokuja suala la msingi ndio hutumia official page yake,

Pia nina rafiki yangu ambae mzee wake ni kiongozi mkubwa sana Tz ila jamaa alishawahi kuchukua sim ya mzee wake na akaona app ya Fb ile kuifungua tu akakuta jina sio lake na kuchek kwenye activity log kakuta mzee yuko kwenye conversation kibao za utan na ujinga kibao anacoment na kulike pia,

So watu wengi wenye pesa wanahofia kutumia Ig halisi sababu wapo kwenye spotligh ila hulka za kibinadam hazijawahi kubadilishwa na pesa hata kidogo,

Hata hapahapa JF naamini wapo mabilionaire kibao na tayari nimekutana na watu ninaohitaji na nipo kwenye hatua nzuri ya kutimiza hitaji langu ko wewe kama unaamini JF kila mtu yupo hapa kwa OFa ya MBS za tigo za bure, endelea kuamini katika imani yako,

Pia msaada kukutana na kundi la watu unaoamini mnafanana matatizo haisaidii kupunguza tatzo lako wala haiongozi chochote kwako. Ili ufanikiwe amini ulizaliwa peke yako, amini utakufa peke ako, amini mzigo uliobeba umeubeba peke yako na utautua peke yako, acha kutafta campany kwenye shida zako haitakusaidia, kujua maskini mpo wengi haipunguzi umaskini wako, ila ukijua wewe ni maskini peke yako itakusaidia kupambania ndoto zako na kuepuka umaskini,

Watu wengi huamini msiba wa wengi hauna kilio ila cha kujua hapa ni kwamba haibadilishi uhalisia wa kifo kifo kitakuwepo palepale na utakuwa umekufa hata kama hakuna kilio hakuna kinachoongezeka kwako.

Ko jitahidi kupokea shida zako wewe kama wew, usiamini kaka wote tulioko huku tunafanana maisha.
 
Nilitegemea hizi comment ndio maana sijataka kusema kwanini nawahitaji, inshort tu ni kwamba hata akija winga nitamjua maana simhitaji for shortcall lazima niwasliane nae na ikiwezekana tufahamiane kabisa. Any way sihitaji kwenda far to my point ila nahisi nimejieleza kuwa hao ndio watu wenye atleast expossure ya ninachohitaj kukijua, kwa hiyo kama unataka nijielezee ndio kitu siwezi kukifanya ndio maana nikasema atakaewiwa sio wote.

Tatzo b0ngo ujuaji mwingi hata km hujapewa picha tayari ushatunga sentensi,
Rubbish, nonsense.
 
Habari wakuu, naamini huku JF kuna watu wengi wengine tuna kipato cha kawaida cha maisha ya mtanzania, wengine hatuna chochote zaidi ya kumiliki smartphone kwa ajili ya kureply matusi na makasiriko kwenye post za watu, na wapo wengine waliojaliwa wanaojijua ni wawekezaji wakubwa na matajiri ambao wana experience na pesa na wanaojua uwekezaji mkubwa,

Shida yangu nahitaji mtu mmoja asiwe mtumishi wa serikali ila awe mfanyabiashara ambae amewekeza zaidi ya 500m, Hapa namaanisha nahitaji mtu mwenye exposure kubwa katika Biashara ya pesa ndefu,

Nimeshindwa kuandika hapa lengo la post yangu kwa kuwa naamini wapo watu wengi humu wengine hawajui wanachokitafta katika maisha yao na wengine hulka yao ni kukejeli na ku dispoint kila mtu ambae wao kwa mtazamo yao wanaona ana wazo tofauti na wao au ana mtazamo tofauti na wao,

Namkarbisha PM kwa moyo mkunjufu kabisa ila kama unajua hii haikuhusu na hauna vigezo tafadhari sana achana na post yangu. Fanya kama hujaiona.
Nipo hapa
 
Haka Nako ni kadalali kalikomalimaliza chuo kamesoma psychology uchwala na hakataki kujishusha japo kanajijua ni kamaskini.
Kanataka kaambulie Hela ya umachinga kariakoo dar
 
Back
Top Bottom