Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
0686108116 Mcheki huyo ana gari kama hiyo unayohitajiMwenye nayo anicheki inbox
Lazima uwe fala tu maana unatafutaje gari za mabeki tatuNimemcheki ananiuliza namba ya gari alafu mshikaji inaonekanaa mteja fala yeye mfalme
By the way shukrani kiongozi
Acha dharau.. Kwani beki 3 sio binadamu au hastahili kuwa na gari..Lazima uwe fala tu maana unatafutaje gari za mabeki tatu
Hahaha sina wivu na vikaratasi sitaki kujisifia ila gari ninayosukuma ni ya mwanaume sio ist za wahudumu wa bar😂😂😂😂Utakuta kwako hata baiskeli ya kwendea shamba unaazima toka jirani. Acha wivu kijana.
Ni binadamu na anastahili kumiliki ist mpyaaa sio ya mkononiAcha dharau.. Kwani beki 3 sio binadamu au hastahili kuwa na gari..
Hahaha naona umebadili kauli ya ukute sina hata baiskeli....... Hakuna anaekuonea wivu kwa ki ist zaidi tunakupa hasira na ww umiliki maunyama sio lazima yawe latest ila zipo ndinga za kiume. Ukiona mwanaume anatamani gari zenye low fuel consuption au anatamani vigari vya wadada kuna tatizo kubwa hapoShukuru Mungu Mkuu kwa ulichonacho. Wengine hawajapata hata baiskeli.
Hana kweli mijitu mijinga humu ndaniUtakuta kwako hata baiskeli ya kwendea shamba unaazima toka jirani. Acha wivu kijana.
Kila mtu ana vipaumbele vyake mkuu....Hahaha naona umebadili kauli ya ukute sina hata baiskeli....... Hakuna anaekuonea wivu kwa ki ist zaidi tunakupa hasira na ww umiliki maunyama sio lazima yawe latest ila zipo ndinga za kiume. Ukiona mwanaume anatamani gari zenye low fuel consuption au anatamani vigari vya wadada kuna tatizo kubwa hapo
Epuka vipaumbele vya kikeKila mtu ana vipaumbele vyake mkuu....