Mtamba wa Panya JF-Expert Member Joined Aug 6, 2017 Posts 764 Reaction score 1,892 Aug 14, 2021 #1 Habari, Nahitaji karanga kama Tani 100. Naomba kujua wapi nitapata mzigo mkubwa kama huu na bei yake ikoje. Ahsante.
Habari, Nahitaji karanga kama Tani 100. Naomba kujua wapi nitapata mzigo mkubwa kama huu na bei yake ikoje. Ahsante.
Ramon Abbas JF-Expert Member Joined May 4, 2021 Posts 1,964 Reaction score 3,913 Aug 14, 2021 #2 Mtamba wa Panya said: Habari, Nahitaji karanga kama Tani 100. Naomba kujua wapi nitapata mzigo mkubwa kama huu na bei yake ikoje. Ahsante.. Click to expand... Nipigie 0683011003.
Mtamba wa Panya said: Habari, Nahitaji karanga kama Tani 100. Naomba kujua wapi nitapata mzigo mkubwa kama huu na bei yake ikoje. Ahsante.. Click to expand... Nipigie 0683011003.
Billgates wa bongo Member Joined Nov 6, 2012 Posts 96 Reaction score 28 Aug 14, 2021 #3 Nipe bei yako kwa kilo moja tuongee mambo muhimu kuhusu hii biashara
spray JF-Expert Member Joined Nov 14, 2013 Posts 277 Reaction score 241 Aug 17, 2021 #5 Karanga aina gani? Za maganda au zilizobanguliwa tayari? Unanunua kwa bei gani
Ulongupanjala JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 8,273 Reaction score 13,567 Aug 17, 2021 #6 Unataka Karanga nyeupe,nyekundu au nyeusi au za bluu? Sema utakacho na unanunua kwa bei gani kwa kilo na upo tayari kuja huku shamba kuchukua mwenyewe au hadi uletewe Dasalama?
Unataka Karanga nyeupe,nyekundu au nyeusi au za bluu? Sema utakacho na unanunua kwa bei gani kwa kilo na upo tayari kuja huku shamba kuchukua mwenyewe au hadi uletewe Dasalama?