Nahitaji karanga kwa wingi

Nahitaji karanga kwa wingi

Karanga aina gani?
Za maganda au zilizobanguliwa tayari?
Unanunua kwa bei gani
 
Unataka Karanga nyeupe,nyekundu au nyeusi au za bluu?
Sema utakacho na unanunua kwa bei gani kwa kilo na upo tayari kuja huku shamba kuchukua mwenyewe au hadi uletewe Dasalama?
 
Back
Top Bottom