Nahitaji kazi yoyote, nipo Dar es Salaam

Nahitaji kazi yoyote, nipo Dar es Salaam

cantona255

New Member
Joined
Mar 19, 2023
Posts
1
Reaction score
1
Habarini wakuu,

Mimi ni kijana wa miaka 28 nipo Dar ni camera man video editor na graphic designer pia ni content creator.

Sina kazi kwa sasa, nahitaji kazi yoyote ya kujikimu kimaisha maana kwa kazi za video production bila conmection huwezi pata, hivyo nikaona nitafute kazi yoyote ile ili niweze kununua vifaa vyangu vya production na baadae kuja kujiajiri mwenyewe.

Kazi yoyote nitafanya hata za viwandani ata za usafi, aombeni mnipe connection maana huu mji bila kazi daaaaa hapakaliki wala hapalaliki.
 
Unge weka hizo kazi za graphic, au ulishawahi fanya before ingependeza
 
Habarini wakuu,

Mimi ni kijana wa miaka 28 nipo Dar ni camera man video editor na graphic designer pia ni content creator.

Sina kazi kwa sasa, nahitaji kazi yoyote ya kujikimu kimaisha maana kwa kazi za video production bila conmection huwezi pata, hivyo nikaona nitafute kazi yoyote ile ili niweze kununua vifaa vyangu vya production na baadae kuja kujiajiri mwenyewe.

Kazi yoyote nitafanya hata za viwandani ata za usafi, aombeni mnipe connection maana huu mji bila kazi daaaaa hapakaliki wala hapalaliki.
Mkuu, nimeona thread yako kama uko free tuwasiliane
 
Jaribu TikTok kama ni mbunifu wa kutengeneza contents utapata madili hata ya kutangaza biashara za watu ila it's not easy
 
Back
Top Bottom