Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsantefuata kuku hapo kilosa wa kienyeji na uje kuuzia wauza supu hapo morogoro mjini mkuu
AhsanteIngekuwa umesomea fani ya Afya leo hii ungepata Kazi.
Kwa fani yako ya Ualimu jaribu kutafuta kwenye Shule Binafsi hizi za English medium, ukikosa waombe wakupe nafasi ya kujitolea wakiona juhudi zako watakuchukua jumla.
Hapana mkuu japo nimezunguka viwandani kule ila wananiambia nafasi zitatoka kuanzia mwezi wa 8 hivyo. Ndiyo maana naendelea kutafuta popote.Mkuu umejalibu kumuona Abood?
Mungu akufanyie wepesi!! Ila ukipata kazi yoyote ipende na kuiheshimu!! Maana watoto wetu mliosoma ukipata kazi yoyote kama ulivyosema, usomi unawaathiri sana!! Kuna jamaa mmoja alimpata msomi, alipofika kazini kutwa kulalamika na wafanyakazi wenzie kuwa yeye ni msomi bosi anampa kazi za wasiosoma!!Habari wakuu,
Nahitaji kazi yoyote kwa sasa, kiwango cha elimu yangu ni shahada ya ualimu.
Ila nipo tayari kufanya kazi yoyote nipo Morogoro maeneo ya Oil Com.
Nashukuru sana kwa sala na pia ushauri mzuri ulionipa. Ni kweli baadhi ya sisi vijana tumejisahau, tunautumia usomi wetu vibaya kujikweza kwa wengine kwa kuona hatuna hadhi ya kufanya kazi fulani.Mungu akufanyie wepesi!! Ila ukipata kazi yoyote ipende na kuiheshimu!! Maana watoto wetu mliosoma ukipata kazi yoyote kama ulivyosema, usomi unawaathiri sana!! Kuna jamaa mmoja alimpata msomi, alipofika kazini kutwa kulalamika na wafanyakazi wenzie kuwa yeye ni msomi bosi anampa kazi za wasiosoma!!