Nahitaji kijana wa kusimamia biashara ya Tigopesa

Nahitaji kijana wa kusimamia biashara ya Tigopesa

chuma jr

Member
Joined
Oct 17, 2015
Posts
88
Reaction score
135
Habar zenu waungwana nimekuja kutangaza fursa ya kazi kijana mwenye uzoefu wa biashara ya tigopesa wa kike au wa kiume awe anaishi Tabata anicheki, ofisi ipo Segerea.

Kama una ndugu yako kikubwa awe muaminifu mwambie anichek malipo ni 50/50 commision kikubwa ajitume.
Call 0627218573
 
Habar zenu waungwana nimekuja kutangaza fursa ya kazi kijana mwenye uzoefu wa biashara ya tigopesa wa kike au wa kiume awe anaishi Tabata anicheki, ofisi ipo Segerea.

Kama una ndugu yako kikubwa awe muaminifu mwambie anichek malipo ni 50/50 commision kikubwa ajitume.
Call 0627218573
50/50 ndo kias gani? Mana kama ndo uñaanza kijana wa watu lazima ale nyasi
 
Haya ndio mambo napenda kuona.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Back
Top Bottom