uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Mtaa wa Aggrey ndio upi pale Kariakoo?
Watakuwekea mavioo ya kichina yanakuwa kama yana ukungu au cloudy, rudi uliponunua kwa ushauri na sio JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaa wa Aggrey ndio upi pale Kariakoo?
Duuh kumbe TCL hawatengenezi tv za inch24!Inch 24 hakuna mkuu, jipige ununue standard size kwa sasa 32" utaipata kwa 400K ile ya kawaida. Smart inaanzia 450K ila ni TV za uhakika! Haitakusumbua.
Hapana, hizo tafuta kwa brand za uchinani, aborder,soy, pinetech and company!Duuh kumbe TCL hawatengenezi tv za inch24!
Nichek kwa sim yanguSh ngap boss unauza tufanye biashara