Nahitaji kitabu cha KAMASUTRA nakipata wapi?

Nahitaji kitabu cha KAMASUTRA nakipata wapi?

bafetimbi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2018
Posts
1,085
Reaction score
1,741
Nakitafuta hicho kitabu mazee na je kimeandikwa na nani, mapenzi yatatuua mwaka huu maana huyu demu ni muarabu sasa nataka niipeperushe vyema bendera ya Tanzania.

Naipenda sana nchi yangu na siko tayari kuidhalilisha kwa namna yoyote ile hasa katika nyanja ya papuching.

Itakua machozi jasho na damu, hii nchi ya kiarabu ninayokwenda kupambana nayo jumaamosi papuchi nataka ifuke moshi kama uwimbombo na ulindi. Nataka nishone mpaka boxa ya bendera ya Tanzania, wapi kuna mafundi cherehani wazuri mazee au niende kuishonea VETA?

Viva Tanzania, Viva Bafetimbi. Nataka nifungue mwaka kivietnam sina masihara mpaka nipewe ubalozi wa Tanzania huko UAE(United Arab Emirates)

Msaada wa hicho kitabu tafadhali.

Naomba kuwasilisha,, MBAA MBAAA MBAAA(in makofi ya bunge's voice)

images.jpeg
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ngj nione kama naweza share document apa nikutumie ninacho
Nitashukuru sana aisee maana hili pambano naona kabisa mpinzani wangu kajiandaa balaa, sasa na mimi inabidi niwe na silaha zote za kivita
 
Angalia asiwe mke WA MTU ukaishia kujitawaza na Gogo la mninga miksa futa la nazi
😂Aisee hata kama ni mke wa mtu lakini kwa namna alivyo potelea pote acha nijilipue tu kiarabu
 
Watu wanapanga mikakati ya maana ya kuzidisha njia ya kuingiza kipato.... wengine wanatemana na uzinzi....wengine wanaweka kabisa ya vitabu vya kuwajenga kiakili ndugu yetu wewe unasoma vitabu vya kufanyia ngono.

Tumnara twenyewe twa maana basi....hasa twa chips yai dakika mbili nyingi kanafeli kabla hata hakajaingia.

🤣🤣🤣🤣
 
Watu wanapanga mikakati ya maana ya kuzidisha njia ya kuingiza kipato.... wengine wanatemana na uzinzi....wengine wanaweka kabisa ya vitabu vya kuwajenga kiakili ndugu yetu wewe unasoma vitabu vya kufanyia ngono.

Tumnara twenyewe twa maana basi....sasa twa chips yai dakika mbili nyingi kanafeli kabla hata hakajaingia.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji1787]🥲🥲[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Watu wanapanga mikakati ya maana ya kuzidisha njia ya kuingiza kipato.... wengine wanatemana na uzinzi....wengine wanaweka kabisa ya vitabu vya kuwajenga kiakili ndugu yetu wewe unasoma vitabu vya kufanyia ngono.

Tumnara twenyewe twa maana basi....sasa twa chips yai dakika mbili nyingi kanafeli kabla hata hakajaingia.

🤣🤣🤣🤣
Noja nikisome alafu nikutafute unipe mpulunge
 
🤣🤣🤣🤣huu mwaka uishe tu jamani🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom