BOFREE
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 1,048
- 1,424
habari wakuu naitaji kiwanja cha kununua maeneo ya kiluvya, kibamba, kimara, hata gobaau madale ndani ndani huko mashart ya kiwanja
1. kiwanja kiwe kinamilikiwa na mwenye kiwanja kihalali.
2. sqmt zianzie 400
3. budget iwe haizidi milion 5
4. gari liwe linafika hadi kwenye kiwanja
5.maji umeme viwe karibu
6.kiwanja kisizidi km 20 kutoka morogoro road
7.siitaji viwanja vya makampuni ya kuuza viwanja naitaji kiwanja cha mtu binafsi anaeuza
kabla ya kununua kiwanja lazima nijihakikishie kwa majirani, serikali za mtaa na hata halmashauri husika kama ni makazi na sio open space au public building au kuna mgogoro, msururu wa madadali siitaji kama unacho njoo pm
1. kiwanja kiwe kinamilikiwa na mwenye kiwanja kihalali.
2. sqmt zianzie 400
3. budget iwe haizidi milion 5
4. gari liwe linafika hadi kwenye kiwanja
5.maji umeme viwe karibu
6.kiwanja kisizidi km 20 kutoka morogoro road
7.siitaji viwanja vya makampuni ya kuuza viwanja naitaji kiwanja cha mtu binafsi anaeuza
kabla ya kununua kiwanja lazima nijihakikishie kwa majirani, serikali za mtaa na hata halmashauri husika kama ni makazi na sio open space au public building au kuna mgogoro, msururu wa madadali siitaji kama unacho njoo pm